Siamini kama Mungu yupo na anaona Manyanyaso haya

chimpazee

New Member
Mar 18, 2017
1
1
Kiukweli jana ilinibidi nipitie kitabu kitakatifu Qur'an tukufu na nikaanza kusoma tarekh (Hadithi) za Mitume waliotajwa ndani ya Qur'an nilijionea maajabu makubwa aliyoyafanya Allah kwa firauni baada ya kuwatesa wanaisraeli nikaona kisa cha Abi rahab ,nikasoma jinsi Ibrahimu alivyotolewa ndani ya Moto na maajabu mengine Makubwa mengi nikaanza kujiuliza tunakosea wapi?
Au tumelaaniwa?
Kwanini Mwenyezi Mungu Asishushe Adhabu zake kwa Utawala huu ?
Au
Nguvu yake imekwisha?
Mungu aliyepundua juu chini chini juu kipindi cha sodoma na gomora ni mwingine na huyu wa sasa Mwingine?
Infact Utawala huu ulitakiwa uadhibiwe na Mungu kama alivyomuadhibu firauni maana sisi wenyewe hatuwezi tumebakia kulalamika .

Mungu huko uliko kama unatusikia wanaislaeri wa Tanzania tunapata mateso makubwa hebu uonyeshee huu utawala utukufu wako .
 
Kiukweli jana ilinibidi nipitie kitabu kitakatifu Qur'an tukufu na nikaanza kusoma tarekh (Hadithi) za Mitume waliotajwa ndani ya Qur'an nilijionea maajabu makubwa aliyoyafanya Allah kwa firauni baada ya kuwatesa wanaisraeli nikaona kisa cha Abi rahab ,nikasoma jinsi Ibrahimu alivyotolewa ndani ya Moto na maajabu mengine Makubwa mengi nikaanza kujiuliza tunakosea wapi?
Au tumelaaniwa?
Kwanini Mwenyezi Mungu Asishushe Adhabu zake kwa Utawala huu ?
Au
Nguvu yake imekwisha?
Mungu aliyepundua juu chini chini juu kipindi cha sodoma na gomora ni mwingine na huyu wa sasa Mwingine?
Infact Utawala huu ulitakiwa uadhibiwe na Mungu kama alivyomuadhibu firauni maana sisi wenyewe hatuwezi tumebakia kulalamika .

Mungu huko uliko kama unatusikia wanaislaeri wa Tanzania tunapata mateso makubwa hebu uonyeshee huu utawala utukufu wako .

Naona umepigika hadi unaingilia maeneo yasiyogusika ya mwenyezi Mungu.Huko utapigika kuliko hapo ulipopigika.Mungu hadhihakiwi wala hafundishwi kazi
 
Kenge mkubwa wewe, mlizoe dezo hata JK mlimtukana sana, NYIE KILA TAWALA KWENU NI MBAYA, HAMENI NCHI BASI NENDA HUKO SAUDIA
 
Ndugu yangu Allah amekataza madawa ya kulevya Allah kakataza ushoga na wizi ufisadi majungu

Anapotokea kiongozi anayekataa hayo anayokataa mungu yasifanyike kuna viongozi wengine wanataka yaendelee kufanyika ukiwemo mleta mada Allah siyo mjomba ako

Allah hapendi husda Allah awapendi watu waongo Leo Lowassa fisadi kesho Lowassa siyo fisadi Allah halazimishwi kitu na MTU kama wewe
 
Wazalendo wa kweli wanajua magufuli ni JEMBE la mwenyezi MUNGU. Tusubiri 2020 mchague mwingine huyu wa Sasa anatosha Pamoja na mapungufu madogo madogo.. Acheni udaku leteni idea za kupambana na madawa, Umaskini na njaa
 
Nyie semeni mtachoka.
a2e25bf68b325045fa7baa4f2ab41c0d.jpg
 
Mi nashangaa sana ,hivi kuna kitu kizuri ambacho mtu atsfanya kila mtanzania atapenda?hapana watz si niwajuaji sana,hata tukimuweka huyo mnae mtaka nae kesho tu tutamouna kama taka,hivyo yatubid tuwe na uvumilivu mkubwa kwa mambo kama haya,kwako ataonekana mbovu kwa wengine ni anaonekana jembe,hivyo vumilia tu yaweng wape.anayoa mama yako upende usipende utamwita tu baba.
 
MUNGU asiyependa madawa ya kulevya . MUNGU anayechukizwa na ufisadi na rushwa.. MUNGU asiyependa Ujanja Ujanja wa Watoto WA kinondoni.. Hujui kitu KAa kimya au leta idea
mungu wa wapi mshamba hivo....anapenda visasi,majivuno,kiburi,uongo,ufisadi,uvamizi...
 
Kiukweli jana ilinibidi nipitie kitabu kitakatifu Qur'an tukufu na nikaanza kusoma tarekh (Hadithi) za Mitume waliotajwa ndani ya Qur'an nilijionea maajabu makubwa aliyoyafanya Allah kwa firauni baada ya kuwatesa wanaisraeli nikaona kisa cha Abi rahab ,nikasoma jinsi Ibrahimu alivyotolewa ndani ya Moto na maajabu mengine Makubwa mengi nikaanza kujiuliza tunakosea wapi?
Au tumelaaniwa?
Kwanini Mwenyezi Mungu Asishushe Adhabu zake kwa Utawala huu ?
Au
Nguvu yake imekwisha?
Mungu aliyepundua juu chini chini juu kipindi cha sodoma na gomora ni mwingine na huyu wa sasa Mwingine?
Infact Utawala huu ulitakiwa uadhibiwe na Mungu kama alivyomuadhibu firauni maana sisi wenyewe hatuwezi tumebakia kulalamika .

Mungu huko uliko kama unatusikia wanaislaeri wa Tanzania tunapata mateso makubwa hebu uonyeshee huu utawala utukufu wako .
Mungu anakusikia sana mana kwa imani yangu anasema "Hata uombe km mtoto yeye akusikia".

~Tumechuchua hatua gani juu ya haya?

~Tumeomba na amegoma kutijibu?

~Mungu na ss nani anatakiwa amweleze shida mwenzie .

YEREMIA 29:13-14a inasema "NANYI MTANITAFUTA NA KUNIONA MTAKAPO NITAFUTA KWA MOYO WENU WOTE."

-NAMI NITAONEKANA LWENU ASEMA BWANA.

Mkuu uwezo wa Mungu kuonekana kwetu upo na inawezekana ni ss hatujamtafuta maana hatuwezi kuifanya serikali chochote.kwakua tu wanyonge na wadhaifu tumwite Mungu mkuu YOTE YANAWEZEKANA KWAKE YY AAMINIE
 
Back
Top Bottom