mjepo
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 4,913
- 916
Tangu nianze kufuatilia siasa za Lowasa sijawahi kuona sehemu hata moja ambayo inathibitisha kuwa Lowasa anaweza kuwa kiongozi mzuri wa kuwaongoza watanzania.
kwa kipindi kifupi alichokuwa waziri mkuu tulishuhudia mambo mengi ya hovyo yakiwepo maamuzi ya kukurupuka ambayo yeye alishaita maamuzi magumu ambayo hayakuwa kuwa na tija kwa watanzania.
Lowasa ameonesha uroho wa mali kwa kuwa mwizi wa wazi kabisa kwa kutumia nafasi yoyote anayoipata aidha kama waziri au kama mtendaji mkuu kwenye Taasisi yeyote ile.
Nadiriki kusema kuwa Lowasa ni kumuogopa kama ukoma siyo kiongozi mzuri hata kidogo.
kwa kipindi kifupi alichokuwa waziri mkuu tulishuhudia mambo mengi ya hovyo yakiwepo maamuzi ya kukurupuka ambayo yeye alishaita maamuzi magumu ambayo hayakuwa kuwa na tija kwa watanzania.
Lowasa ameonesha uroho wa mali kwa kuwa mwizi wa wazi kabisa kwa kutumia nafasi yoyote anayoipata aidha kama waziri au kama mtendaji mkuu kwenye Taasisi yeyote ile.
Nadiriki kusema kuwa Lowasa ni kumuogopa kama ukoma siyo kiongozi mzuri hata kidogo.