Siamini kama kweli benki ndio wameuza nyumba ya milioni 25 kwa milioni 3 kisa wanamdai mteja wao milioni 1 na laki 6. Au kuna utapeli ndani yake?

Kama kuna jambo kama hili limetokea ukweli basi mwenye kosa ni mkopaji. Ukikopa dawa yake ni kulipa na siyo kuelezea matatizo yaliyokukuta. Hakuna cha kuibiwa na mke wako wala kuibiwa na mama mzazi ni lazima ulipe umalize deni. Ndiyo maana wahenga walisema kukopa ni harusi na kulipa ni matanga. Kwani hakusoma masharti ya mkopo wakati anakopa? Na kama alisoma, yalisemaje?
Utaperi hakuna masharti,wana deal zao hao kwanini dhamana isilingane na pesa iliyo kopwa?Na imani hivyo walivyo weka kwa mjumbe tu vinge tosha kulipa mkopo huo.Mbona mimi 1,000,000 niliweka Redio na vitu vitu tu nyumba wakakataa,Huyo aliye andikisha dhamana ni mjanja mjanja.
 
hakuna kitu kama hicho, nyumba ya milioni 25 haiwezi kuuzwa kwa milioni 3 hata siku moja, itauzwa si chini ya milioni 20, huwezi kuuziwa nyumba bila kujulishwa kwa barua,
Kinacho baki baada ya gharama zote ni mali ya mdaiwa,kama bei imepungua kuliko thamani ya kitu,made huailishwa sawa sawa na kama hakuna mnunuzi mnada huailishwa
 
Mmmmh hatari.Mwandishi hatuambii kwanini mke aliiba na kuondoka tungemsaidia kwa karibu zaidi.Huenda mkewe ana date na mmoja wa staff wa hapo bank.
 
Kuna vitu fulani katika maisha vikikukuta utajiuliza hivi hi ni ndoto au live. Jamaa alikopa million 3 na laki 5 Access Bank akaweka dhamana mjengo wake wenye thamani ya million 25. Akalipa lipa ilipobaki kama nusu ya mkopo mkewe akamuibia pesa zote za biashara hivyo akashindwa kufanya marejesho yaliyobaki.

Jamaa wa bank wakamuita wakamwambia tunacancel mkopo tunakupa miezi 3 utuletee pesa yetu million 1 na laki 6.
Miezi 3 ikapita jamaa akashindwa kulipa kuna siku akatoka kidogo mida ya jioni aliporudi akakuta nyumba yake ipo tupu.

Akaenda kwa Mjumbe kuripoti Mjumbe akamwambia alipewa amri na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa kusimamia watu watoe vyombo ndani na kuvipeleka kwa Mwenyekiti wa Mtaa kwa madai kwamba nyumba imeshauzwa. Jamaa aliposema mimi hayo siyajui na kuingia ndani kwake alikuja mwenyekiti wa mtaa na watu wake wakamtia pingu na kumuita mvamizi

Jamaa akaenda mahakamani, bank na hao madalali hawakutokea mahakamani mara zote 3. Sasa mimi ndio najiuliza hivi ni kweli Access Bank wameuza au kuna matapeli wametake advantage?
Kwa hiyo benki na madalali wasipotokea inakuwa aje? Anarudishiwa nyumba?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna vitu fulani katika maisha vikikukuta utajiuliza hivi hi ni ndoto au live. Jamaa alikopa million 3 na laki 5 Access Bank akaweka dhamana mjengo wake wenye thamani ya million 25. Akalipa lipa ilipobaki kama nusu ya mkopo mkewe akamuibia pesa zote za biashara hivyo akashindwa kufanya marejesho yaliyobaki.

Jamaa wa bank wakamuita wakamwambia tunacancel mkopo tunakupa miezi 3 utuletee pesa yetu million 1 na laki 6.
Miezi 3 ikapita jamaa akashindwa kulipa kuna siku akatoka kidogo mida ya jioni aliporudi akakuta nyumba yake ipo tupu.

Akaenda kwa Mjumbe kuripoti Mjumbe akamwambia alipewa amri na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa kusimamia watu watoe vyombo ndani na kuvipeleka kwa Mwenyekiti wa Mtaa kwa madai kwamba nyumba imeshauzwa. Jamaa aliposema mimi hayo siyajui na kuingia ndani kwake alikuja mwenyekiti wa mtaa na watu wake wakamtia pingu na kumuita mvamizi

Jamaa akaenda mahakamani, bank na hao madalali hawakutokea mahakamani mara zote 3. Sasa mimi ndio najiuliza hivi ni kweli Access Bank wameuza au kuna matapeli wametake advantage?
Kwanza mahakama ya hakimu mkazi haiweze kupokea kesi ya madai ya TZS 1,600,000/= labda mahakama ya mwanzo na huko itakuwa ni kesi ya kujipatia pesa kwa udanganyifu
 
Watu wakatili sana, ameomba million 3, processing fee sh ngapi, bima wamekata, bado loan officer aliomba chochote mkopo uwahi fasta, mkononi million 2 na laki 2, akajua amekula nao dili mkopo watamsamehe, wamepita na nyumba kikatili!!!

Jamaa anataka kumuuzia kesi ya vyombo mwenyekiti, kumbe wife ndo alitokomea navyo, baada ya kuona darling katumia mkopo kunywea.

Siku wife akirudi Kama shahidi wa Benki jamaa lazima ata RIP
 
Mke wake ndio ameshika milango yote.
Asitafute mchawi mwingine. Kikulacho ki nguoni mwako
 
Mwambie akafungua kesi mahakamani then aombe maombi ya kutengua mauzo yaliofanyika kuwa yalikuwa kinyume na taratibu kwa maelezo ni dm
 
Kuna vitu fulani katika maisha vikikukuta utajiuliza hivi hi ni ndoto au live. Jamaa alikopa million 3 na laki 5 Access Bank akaweka dhamana mjengo wake wenye thamani ya million 25. Akalipa lipa ilipobaki kama nusu ya mkopo mkewe akamuibia pesa zote za biashara hivyo akashindwa kufanya marejesho yaliyobaki.

Jamaa wa bank wakamuita wakamwambia tunacancel mkopo tunakupa miezi 3 utuletee pesa yetu million 1 na laki 6.
Miezi 3 ikapita jamaa akashindwa kulipa kuna siku akatoka kidogo mida ya jioni aliporudi akakuta nyumba yake ipo tupu.

Akaenda kwa Mjumbe kuripoti Mjumbe akamwambia alipewa amri na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa kusimamia watu watoe vyombo ndani na kuvipeleka kwa Mwenyekiti wa Mtaa kwa madai kwamba nyumba imeshauzwa. Jamaa aliposema mimi hayo siyajui na kuingia ndani kwake alikuja mwenyekiti wa mtaa na watu wake wakamtia pingu na kumuita mvamizi

Jamaa akaenda mahakamani, bank na hao madalali hawakutokea mahakamani mara zote 3. Sasa mimi ndio najiuliza hivi ni kweli Access Bank wameuza au kuna matapeli wametake advantage?
Inaogopesha!
 
Back
Top Bottom