Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna wakat una point sana.... big up!!Karibu..kweli ina wenyewe! Na wenyewe ni mimi na wewe
Karibu..kweli ina wenyewe! Na wenyewe ni mimi na wewe
mtm huyu jamaa ni magwanda dam damu ngoja wamnyime kimshahara chake ..lazima akimbie kama mwitakuna wakat una point sana.... big up!!
hio ni motto wa ccm ..humu jf ni yako pia hata kabla hujajiungaheri kwenu wandugu, mods, mamemba na msio mamemba. nimelazimika kujiunga jf, kwa vile so far sijasikia tamko kuwa jf ina wenyewe. natania tu jamani, naombeni ukaribisho wenu!
hahahaaaaaaaaaaaaaamtm huyu jamaa ni magwanda dam damu ngoja wamnyime kimshahara chake ..lazima akimbie kama mwita
Kichwa chako cha thread kina mvuto, karibu sana jamvini ni imani yangu hutajutia kabisa kujiunga na JF bali utajilaumu kwa nini umechelewa. Mwisho jiandae kuzikabili changamoto mbali mbali za jukwaani.heri kwenu wandugu, mods, mamemba na msio mamemba. nimelazimika kujiunga jf, kwa vile so far sijasikia tamko kuwa jf ina wenyewe. natania tu jamani, naombeni ukaribisho wenu!
Kichwa chako cha thread kina mvuto, karibu sana jamvini ni imani yangu hutajutia kabisa kujiunga na JF bali utajilaumu kwa nini umechelewa. Mwisho jiandae kuzikabili changamoto mbali mbali za jukwaani.
Mbona umekuja kilawama hivyo .?? JF ina wenyewe na wenyewe ni wote wanaosoma kilichomo, wanaochangia na wasiochangia mada za humu ndaniheri kwenu wandugu, mods, mamemba na msio mamemba. nimelazimika kujiunga jf, kwa vile so far sijasikia tamko kuwa jf ina wenyewe. natania tu jamani, naombeni ukaribisho wenu!