johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,886
- 141,816
Watu ni wengi, wengi wengi mno sijajua kama tahadhari za Corona alizotangaza RC Makala kama zinazingatiwa ama la.
Aisee watu ni wengi mno na wamebanana sana sijajua kama kikao cha kamati kuu ya Nccr mageuzi kilichozuiliwa kilikuwa na umati wa wajumbe kama ninaowaona hapa Lupaso.
Aisee watu ni wengi mno na wamebanana sana sijajua kama kikao cha kamati kuu ya Nccr mageuzi kilichozuiliwa kilikuwa na umati wa wajumbe kama ninaowaona hapa Lupaso.