Siamini kama Halima Mdee anaijua Katiba ya Jamhuri ya Muungano Tanzania kumzidi Mzee Msekwa aliyeiasisi katiba hiyo mwaka 1977

View attachment 1637054

johnthebaptist wewe ni mnafiki na msukule unaesimamia chochote ambacho kinapangwa huko ccm dhidi ya Chadema.

Kupitia mabandiko yenu na comments zenu tunajua mipango inayopangwa huko ccm pamoja na kuweweseka kwa serikali hii isiyojua isimamie kipi
Baada ya kuipitia CV ya Pius Msekwa kwa umakini mkubwa nimegundua kuwa yeye ndio mtu pekee anayeweza kuisemea kwa haki katiba ya JMT ya 1977 na marekebisho yake kwa sasa.

So bwashee usikariri!
 
Watu wenye akili wanaelewa wazi kuwa Halima James Mdee kuendelea kubishana na kamati kuu ya Chadema ni kupoteza muda wake bure kwa sababu swala hili limeshafika mwisho

Binafsi nimemuelewa Spika mstaafu wa bunge ambaye sahihi yake imo kwenye katiba ya JMT na nimeona ni kama amelitamatisha swala hili kiitifaki zaidi.
Kwamba ni heri ya nusu shari kuliko shari kamili.

Kauli ya Spika mstaafu Msekwa kwamba " Daktari akipokea wagonjwa akiisha kuwatibu wanaondoka au wakifa wanaondoka" imejaa hekima kubwa ambayo unaweza usiione kwa haraka haraka.

Halima James Mdee na wenzake wakubali kuwa waliingizwa " force king" ili draft likamilike mapema na sasa mchezo umekwisha.

Mimi ni nani nimbishiye muasisi wa katiba ya JMT?!!

Maendeleo hayana vyama!
Halafu wewe jamaa sometime huwa nakuelewa sana kwa sababu unajielewa. Na kinachofanya nikuelewe tofauti na CCM wenzako ni kuwa huwa penye ukweli wakati fulani huwa unakubaliana nao tofauti na vijana wengi wa CCM ambao wapo humu JF huwa kama vile hawana akili kwa jinsi wanavyochangia mada kwa kujitoa akili hata katika masuala ambayo yapo wazi kabisa. Hongera sana kwa kuwa na muelekeo huo. Maana hata kama tuna itikadi tofauti ya vyama lakini penye ukweli lazima tuseme ukweli na sio kuleta propaganda.
 
Nasikia ktk katiba ya CDM ukipeleka maswala ya chama mahakamani umekwisha, kama alivyo Fanya zitto na ikawa mwisho wake na akaona aende kuanzisha chama chake...

Sasa kama hao wanawake wana nguvu na ubavu basi waige ya zitto waende wakaanzishe chama chao alafu turudi ktk uchaguzi au waende haya nccr, tlp etc wataipata ya wananchi
Kwahiyo CHADEMA ni kama TFF?
 
Halafu wewe jamaa sometime huwa nakuelewa sana kwa sababu unajielewa. Na kinachofanya nikuelewe tofauti na CCM wenzako ni kuwa huwa penye ukweli wakati fulani huwa unakubaliana nao tofauti na vijana wengi wa CCM ambao wapo humu JF huwa kama vile hawana akili kwa jinsi wanavyochangia mada kwa kujitoa akili hata katika masuala ambayo yapo wazi kabisa. Hongera sana kwa kuwa na muelekeo huo. Maana hata kama tuna itikadi tofauti ya vyama lakini penye ukweli lazima tuseme ukweli na sio kuleta propaganda.
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu na kesho ni Jumapili bwashee!
 
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu na kesho ni Jumapili bwashee!
Nimekupata mkuu. Sometime uwe unajaribu kuwaelimisha baadhi ya vijana wenzako wa CCM humu namna sahihi ya kuchangia mada badala ya kutukana tukana tu. Mfano mzuri mtu kama Paschal Mayala ni muandishi wa muda mrefu sana humu JF lakini kwa jinsi anavyotoaga mada zake na kuchangia humu utafikiri ni mtoto mdogo asiyejielewa kumbe ni muandishi nguli wa muda mrefu sana.
 
Baada ya kuipitia CV ya Pius Msekwa kwa umakini mkubwa nimegundua kuwa yeye ndio mtu pekee anayeweza kuisemea kwa haki katiba ya JMT ya 1977 na marekebisho yake kwa sasa.

So bwashee usikariri!

Mtu yeyote mwenye kusimamia sheria ndiye mwenye haki ya kusimamia katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na si kama usemavyo.

Hii inaonyesha vile ulivyo tayari kumwabudu mtu na si kusimama na sheria ambayo ndio sauti ya watanzania
 
Watu wenye akili wanaelewa wazi kuwa Halima James Mdee kuendelea kubishana na kamati kuu ya Chadema ni kupoteza muda wake bure kwa sababu swala hili limeshafika mwisho

Binafsi nimemuelewa Spika mstaafu wa bunge ambaye sahihi yake imo kwenye katiba ya JMT na nimeona ni kama amelitamatisha swala hili kiitifaki zaidi.
Kwamba ni heri ya nusu shari kuliko shari kamili.

Kauli ya Spika mstaafu Msekwa kwamba " Daktari akipokea wagonjwa akiisha kuwatibu wanaondoka au wakifa wanaondoka" imejaa hekima kubwa ambayo unaweza usiione kwa haraka haraka.

Halima James Mdee na wenzake wakubali kuwa waliingizwa " force king" ili draft likamilike mapema na sasa mchezo umekwisha.

Mimi ni nani nimbishiye muasisi wa katiba ya JMT?!!

Maendeleo hayana vyama!
Vipi comrade ndiyo ufahamu umekurudia sasa? Maana jana tu hapa ulikuwa shabiki namba wani wa mzee Mdee!
 
Watu wenye akili wanaelewa wazi kuwa Halima James Mdee kuendelea kubishana na kamati kuu ya Chadema ni kupoteza muda wake bure kwa sababu swala hili limeshafika mwisho

Binafsi nimemuelewa Spika mstaafu wa bunge ambaye sahihi yake imo kwenye katiba ya JMT na nimeona ni kama amelitamatisha swala hili kiitifaki zaidi.
Kwamba ni heri ya nusu shari kuliko shari kamili.

Kauli ya Spika mstaafu Msekwa kwamba " Daktari akipokea wagonjwa akiisha kuwatibu wanaondoka au wakifa wanaondoka" imejaa hekima kubwa ambayo unaweza usiione kwa haraka haraka.

Halima James Mdee na wenzake wakubali kuwa waliingizwa " force king" ili draft likamilike mapema na sasa mchezo umekwisha.

Mimi ni nani nimbishiye muasisi wa katiba ya JMT?!!

Maendeleo hayana vyama!
Stay tuned game ndiyo imeanza wewe si umesikia upande mmoja subiri usikie na upande utakujaje then utajua nani ni nani na nani atamshinda mwenzake
 
MaCCM hovyo sana, wanafiki sana MaCCM.
Hao waunga juhudi 19 mnao huko CCM, mfurahi sasa.
 
Back
Top Bottom