johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,752
- 139,556
Watu wenye akili wanaelewa wazi kuwa Halima James Mdee kuendelea kubishana na kamati kuu ya CHADEMA ni kupoteza muda wake bure kwa sababu swala hili limeshafika mwisho
Binafsi nimemuelewa Spika mstaafu wa Bunge ambaye sahihi yake imo kwenye katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na nimeona ni kama amelitamatisha swala hili kiitifaki zaidi. Kwamba ni heri ya nusu shari kuliko shari kamili.
Kauli ya Spika mstaafu Msekwa kwamba "Daktari akipokea wagonjwa akiisha kuwatibu wanaondoka au wakifa wanaondoka" imejaa hekima kubwa ambayo unaweza usiione kwa haraka haraka.
Halima James Mdee na wenzake wakubali kuwa waliingizwa "force king" ili draft likamilike mapema na sasa mchezo umekwisha.
Mimi ni nani nimbishiye muasisi wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Maendeleo hayana vyama!
Binafsi nimemuelewa Spika mstaafu wa Bunge ambaye sahihi yake imo kwenye katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na nimeona ni kama amelitamatisha swala hili kiitifaki zaidi. Kwamba ni heri ya nusu shari kuliko shari kamili.
Kauli ya Spika mstaafu Msekwa kwamba "Daktari akipokea wagonjwa akiisha kuwatibu wanaondoka au wakifa wanaondoka" imejaa hekima kubwa ambayo unaweza usiione kwa haraka haraka.
Halima James Mdee na wenzake wakubali kuwa waliingizwa "force king" ili draft likamilike mapema na sasa mchezo umekwisha.
Mimi ni nani nimbishiye muasisi wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Maendeleo hayana vyama!