TEMILUGODA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,389
- 285
Nipo kijijini kwangu,Ibangamoyo-kalenga,najionea namna makamanda wenzangu kwa pamoja tunavyo shambulia pango la nchi,kiasi kwamba joka limeanza kufoka ndani ya pango,tunapita nyumba hadi nyumba,mtu kwa mtu huku tukivua magamba kedekede.Siafu sasa wamekazana,wanataka joka litoke huku wakiwa wamelizonga mdomoni,machoni na puani.Hakika likishatoka pangoni litauwawa kwa fimbo laini tu wala si kisonzo au bunduki ama mkuki.SIAFU WAMEKAZANA,TANZANIA KUIKOMBOA.