Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Kwa haraka utaona baadhi ya vijana wakiwa na shida nyingi sana na sasa wana drag taifa kuanguka nao.Vijana wetu maarufu sana ktk hadhira yetu ni akina Zitto,Makamba,mwigulu, etc....ndio wapo ktk public scrutiny.
Kupunguza maneno naweza sema vijana wasomi na wasiosoma, na watu wengine waliopaswa kuwa wamekomaa wamefikia mahakali wanaanza pull back taifa,kwa kukosa CULTURE,kukosa values ambzo zinadefine personalities za watu na mahusino yao na watu wa makundi mbalimbali ktk taifa.Watanzania wanakosa sana hii kitu.Sasa hivi wanabeba beba vitu njiani na kudhani kuwa ni vyao,wanakusanyakusanya philosophies, psychologies, politics, zilizochanganyika,na hawawezi zitumia wala kuzielewa.Pia hawakuwahi jua kuwa walipaswa kuwa na uwezo wa kuchagua na kuamini fikra fulani walizozielewa na kuzifuata, hawakufunzwa kuamini misingi fulani(school of thoughts) kwa moyo mkunjufu na uamini na uchenyekevu.
Hawa watoto wa dot.com na wazee wao hawana ustaarabu/utamaduni(Culture/civilization) kabisa, na hawakuwahi jua ustaarabu gani unaweza kuwa na manufaa ktk taifa ili wajifunze,waamini, nakuushika.
Kwa bahati mbaya sana ni watanzania wengi sana wana mseto wa fikra,tena hawa wenye mseto wa fikra ,---- zilizochanganyikiwa kabisa ndio wameshikilia nchi, ndio wanalazimisha ushawishi,ndio wanataka waongoza wengine na hali hiyo ya kuchanganyikiwa.Wenye kuelewa vitu fulani wanabaki wakishangaa....
Nasikitika kusema kuwa Nchi ustaarabu/utamaduni(culture/civilization ) hawana.Kwa ujumla ni watu ni washenzi na barbaric sana.Wasiojua culture yao inapoishia ili wakichukua ingine wajue wapi pa kuanzia na kuiachia.
Hiii ni taabu sana.
Kupunguza maneno naweza sema vijana wasomi na wasiosoma, na watu wengine waliopaswa kuwa wamekomaa wamefikia mahakali wanaanza pull back taifa,kwa kukosa CULTURE,kukosa values ambzo zinadefine personalities za watu na mahusino yao na watu wa makundi mbalimbali ktk taifa.Watanzania wanakosa sana hii kitu.Sasa hivi wanabeba beba vitu njiani na kudhani kuwa ni vyao,wanakusanyakusanya philosophies, psychologies, politics, zilizochanganyika,na hawawezi zitumia wala kuzielewa.Pia hawakuwahi jua kuwa walipaswa kuwa na uwezo wa kuchagua na kuamini fikra fulani walizozielewa na kuzifuata, hawakufunzwa kuamini misingi fulani(school of thoughts) kwa moyo mkunjufu na uamini na uchenyekevu.
Hawa watoto wa dot.com na wazee wao hawana ustaarabu/utamaduni(Culture/civilization) kabisa, na hawakuwahi jua ustaarabu gani unaweza kuwa na manufaa ktk taifa ili wajifunze,waamini, nakuushika.
Kwa bahati mbaya sana ni watanzania wengi sana wana mseto wa fikra,tena hawa wenye mseto wa fikra ,---- zilizochanganyikiwa kabisa ndio wameshikilia nchi, ndio wanalazimisha ushawishi,ndio wanataka waongoza wengine na hali hiyo ya kuchanganyikiwa.Wenye kuelewa vitu fulani wanabaki wakishangaa....
Nasikitika kusema kuwa Nchi ustaarabu/utamaduni(culture/civilization ) hawana.Kwa ujumla ni watu ni washenzi na barbaric sana.Wasiojua culture yao inapoishia ili wakichukua ingine wajue wapi pa kuanzia na kuiachia.
Hiii ni taabu sana.