Sheria za barabarani kama zikisimamiwa vizuri nafikiri hatuna tatizo kubwa, kwa mfano utoaji wa leseni kama uta-demand mtu lazima kupita chuo na driving test ikawa na maana sio njaa za trafiki nafikiri tutakuwa na madereva wazuri sana.
KIngine tujifunze kwenye nchi zenye sheria kali ambazo mtu anaogopa kuivunja kwani kosa lake malipo yake sio mchezo kwa mfano kama Japani ukizidisha mwendo tu na camera ikakuona faini yake ni kubwa mno pamoja na kufungiwa kwa muda usiopungua mwezi bila kuendesha gari.
Ngoja watunga sheria wanaoshindwa kuzisimamia wafe labda inaweza kusaidia. Mbona watu wanachinjwa kila siku lakini serikali iko usingizini, leo baada ya viongozi kupata ajali ndo wanaanza kuogopa. After all viongozi wengine ni ma-bogus hawana mchango +ve kwa jamii sana sana mafisadi tu.
KIngine tujifunze kwenye nchi zenye sheria kali ambazo mtu anaogopa kuivunja kwani kosa lake malipo yake sio mchezo kwa mfano kama Japani ukizidisha mwendo tu na camera ikakuona faini yake ni kubwa mno pamoja na kufungiwa kwa muda usiopungua mwezi bila kuendesha gari.
Ngoja watunga sheria wanaoshindwa kuzisimamia wafe labda inaweza kusaidia. Mbona watu wanachinjwa kila siku lakini serikali iko usingizini, leo baada ya viongozi kupata ajali ndo wanaanza kuogopa. After all viongozi wengine ni ma-bogus hawana mchango +ve kwa jamii sana sana mafisadi tu.