Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,456
- 45,745
Kuna haja mamlaka kuja na kanuni ili tankers zote zitegenezewe namna mabetri yafichwe kwenye kama "kasanduku" ka chuma na paweko na padlock.
Hii nchi wajinga wengi mno tayari nimesikia wakisema Mungu ndiye alipanga wafe kifo cha aina hiyo.
Ili muwndelee kujichotea vya watu