MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,733
Pakitokea Ajali yoyote ya Moto hii ndiyo Huduma ya Kwanza katika Kujiokoa:
1. Tafuta haraka sana Blanketi kwani Blanketi ndiyo Kiboko ya Moto unaomuwakia au kumuunguza Mwanadamu
2. Ukiwa Mwili wako umeshika Moto lala chini upesi na biringita huo Moto utazima upesi sana
3. Ukiwa ndani ya Jengo lililoshika Moto hakikisha uwe unatambaa na kamwe usisimame
Mimi nimezipata hizi ila naomba na wengine pia kama mna zenu mziweke hapa ili Safari ijayo hata kama Teja atachomoa Betri basi wengi tutapona na tusife kisha tukapunguza idadi ya Wapiga Kura, Washangiliaji wa Simba na Yanga na hata Kuitia Hasara Serikali ( Nchi ) kusudi Pesa zingine ziende katika Maendeleo.
1. Tafuta haraka sana Blanketi kwani Blanketi ndiyo Kiboko ya Moto unaomuwakia au kumuunguza Mwanadamu
2. Ukiwa Mwili wako umeshika Moto lala chini upesi na biringita huo Moto utazima upesi sana
3. Ukiwa ndani ya Jengo lililoshika Moto hakikisha uwe unatambaa na kamwe usisimame
Mimi nimezipata hizi ila naomba na wengine pia kama mna zenu mziweke hapa ili Safari ijayo hata kama Teja atachomoa Betri basi wengi tutapona na tusife kisha tukapunguza idadi ya Wapiga Kura, Washangiliaji wa Simba na Yanga na hata Kuitia Hasara Serikali ( Nchi ) kusudi Pesa zingine ziende katika Maendeleo.