johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,567
Kwanza niwapongeze majirani zetu Kenya kwa sherehe nzuri za Madaraka Day na kwa namna wanavyopambana na ufisadi.
Lakini nimpongeze kipekee Rais Uhuru Kenyata kwa kubadilisha fedha ya Kenya kama njia ya kuwadhibiti mafisadi walioficha fedha majumbani mwao.
Ila sikubaliani na taarifa yao kuwa Kenya inaongoza Afrika mashariki kwa ukuaji wa uchumi ikiwa na ukuajiaji wa 6.3%.
Hii si kweli kwani Tanzania tumewashinda tukiwa na ukuaji wa 7%.
Ni hayo machache
Maendeleo hayana vyama!
Lakini nimpongeze kipekee Rais Uhuru Kenyata kwa kubadilisha fedha ya Kenya kama njia ya kuwadhibiti mafisadi walioficha fedha majumbani mwao.
Ila sikubaliani na taarifa yao kuwa Kenya inaongoza Afrika mashariki kwa ukuaji wa uchumi ikiwa na ukuajiaji wa 6.3%.
Hii si kweli kwani Tanzania tumewashinda tukiwa na ukuaji wa 7%.
Ni hayo machache
Maendeleo hayana vyama!