Si sahihi kufuta viboko shuleni ila ni muhimu kuwa makini wakati wa kuvitumia

britanicca

JF-Expert Member
May 20, 2015
15,636
30,004
Mwaka juzi nikiongea na rafiki yangu wa uingereza Linda Clarkson aliniambia kwamba amewahi kujitokea kufundisha Tanzania shule moja ipo kigoma,

Alichukia sana viboko shuleni mpaka kuwatisha wenye shule kwamba wakiendelea kuchapa wanafunzi ataacha kazi na atasitisha msaada mara moja kwa shule hiyo,

Akasema kumbe hakuwa sahihi kwa mawazo yale,

Anasema baada ya kukaa sana shule pale nika realize that African students without strokes , a're disrespectful, being late at school, they even over joke teachers during lesson hours while seriousness is needed,

They used to throw pieces of chalks at me while writing on board , when you ask they keep laughing, I decided to make investigation on whether other teachers experienced that situation, I found that those who cane, are respected 100% ,

Mwalimu huyo aliyewahi kujitolea akasema hata uingereza wanajuta kufuta kiboko maana nikadhani, nchi za ulaya hawajawah kumchapa mwanafunzi akasema miaka ya nyuma walikuwa wanachapa sana,
Walivyofuta watoto miaka ya 90 waka misbehave mpaka kuingia bungeni na kuwatandika wabunge vichwa, Bunge la uingereza wakasema ama walikosea wasingefuta kabisa viboko wangeleta njia ya kuvitumia kiusahihi,


Hata kwa Tanzania ukitaka kuharibu kizazi hiki futa viboko shuleni,
Mwanafunzi wa Tanzania hajielewi ukisema umpe adhabu ya kufyeka anafurahi maana hataki kuingia darasani,

Nyote ni mashahidi wanafunzi wamekuwa wakiomba walimu wasije ili waendelee kupiga kelele,

Wanafunzi baadhi boarding schools wanapenda umeme kukatika wasiingie darasani usiku, na saa nyingine kuweka chumvi kwenye generators za shule Ili zisiwake wakae nje,

Wanafunzi wanaopenda mwalimu asafiri wakae bila kusoma,

Adhabu pekee inayoogopwa n.a. wanafunzi wa afrika ni kiboko, maana haogopi kufeli kwamba kakosa kipindi kwa kufyeka, hasa ambao bado ni wadogi,

USHAURI AKA WALIMU

Tumieni viboko kwa utaratibu, utampigaje mwanafunzi kwa mpini?

Utampigaje mwanafunzi kichwani?

Utampigaje mwanafunzi viboko zaid ya 10?

Utampigaje mwanafunzi kama nyoka?

Walimu wabaya hutumia nafasi ya viboko shuleni kama kuwakomoa baadhi ya wanafunzi,,
Sasa uwepo utaratibu maalumu wa kuadhibu kwa kutumia viboko so kuvifuta

Sikia Magufuli analaumu kwanini wanafuta viboko shuleni


Tusikilize clip hii kwa yaliyomtokea mwanafunzi aliyekufa bukoba, amepigwa to sana sana sana kwa mipini,.Na kumnyofoa kucha kwa compass, hii haikubaliki,

Tunajua walimu wengi wa siku hizi hawana maadili wanavalia suruali chini ya makalio, waliwahi n.a. wengine bado wanavuta bangi, hawajazaa hawana uchungu, wana visirani, wanataka waonekane wanajua kupiga kushindana,

 
Mwalimu huyo ni wa kunyongwa kabisa kumbe alimuadhibu kiasi hicho mwanafunzi, mpaka kunyofoa kucha, hiyo kakusudia kuua siyo bahati mbaya
 
mimi kipindi nipo shule adhabu za nje MF kufyeka kufagia ndo nlikua nazipenda sana yaani bora nikae nje nipige story kuliko kuingia darasani lkn sa HV dah najuta

adhabu ya viboko ikiondolewa utakua ni ujinga Mkubwa kuwahi kutokea





yes bishoo haswaaaa
 
Kabla sijausoma uzi wako ngoja tu nikuambie kuwa wewe una akili za kijima.
Mimi viboko nilivyochapwa shule ya msingi na sekondari havijawahi kuniletea matokeo chanya zaidi ya hasi.
Adhabu ya viboko ni jambo la kipuuzi sana. Mwalimu wetu wa maths O level Mmarekani alikuwa alisema kwao viboko havipo na ufaulu ni wa juu, darasa zima kutoa one na two tu ni jambo la kawaida.
Na kwakusema ukweli ngozi nyeusi (Waafrika) humchapa mwanafunzi huku mioyo yao imekunja kama korosho. Yaani wanapiga ili kumkomoa mtoto na si vinginevyo.
Ili nalo halijasoma uzi zinasema nimjibu mtoa mada heeee, yajayo yanafurahishaaa, mi mbona nimeelewa mantiki yake
 
Kabla sijausoma uzi wako ngoja tu nikuambie kuwa wewe una akili za kijima.
Mimi viboko nilivyochapwa shule ya msingi na sekondari havijawahi kuniletea matokeo chanya zaidi ya hasi.
Adhabu ya viboko ni jambo la kipuuzi sana. Mwalimu wetu wa maths O level Mmarekani alikuwa alisema kwao viboko havipo na ufaulu ni wa juu, darasa zima kutoa one na two tu ni jambo la kawaida.
Na kwakusema ukweli ngozi nyeusi (Waafrika) humchapa mwanafunzi huku mioyo yao imekunja kama korosho. Yaani wanapiga ili kumkomoa mtoto na si vinginevyo.
Kaka kwanza ungesoma uzi ukaelewa namaanisha nini,pia ni mawazo yangu so mpaka unitukane
 
mimi kipindi nipo shule adhabu za nje MF kufyeka kufagia ndo nlikua nazipenda sana yaani bora nikae nje nipige story kuliko kuingia darasani lkn sa HV dah najuta

adhabu ya viboko ikiondolewa utakua ni ujinga Mkubwa kuwahi kutokea





yes bishoo haswaaaa
Umeelewa namaanisha nini hapo
 
Adhabu ya viboko iwepo ila kue na limitation kama viboko vi nne basi visizid lakin tatizo linapokuja walimu hua hawafati sheria hyo yani wanapiga uncountable alaf siyo sehem husika utakuta anakuchapa kwenye mapaja,kichwani,kwenye muscles za miguu yani randomly kwaiyo siyo tu wanafunzi ambao bila viboko hawaendi bali hata walimu sheria za adhabu hawazifati ndio mana pengine serikal imatak kufuta viboko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Adhabu ya viboko iwepo ila kue na limitation kama viboko vi nne basi visizid lakin tatizo linapokuja walimu hua hawafati sheria hyo yani wanapiga uncountable alaf siyo sehem husika utakuta anakuchapa kwenye mapaja,kichwani,kwenye muscles za miguu yani randomly kwaiyo siyo tu wanafunzi ambao bila viboko hawaendi bali hata walimu sheria za adhabu hawazifati ndio mana pengine serikal imatak kufuta viboko

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa
 
Mwaka juzi nikiongea na rafiki yangu wa uingereza Linda Clarkson aliniambia kwamba amewahi kujitokea kufundisha Tanzania shule moja ipo kigoma,

Alichukia sana viboko shuleni mpaka kuwatisha wenye shule kwamba wakiendelea kuchapa wanafunzi ataacha kazi na atasitisha msaada mara moja kwa shule hiyo,

Akasema kumbe hakuwa sahihi kwa mawazo yale,

Anasema baada ya kukaa sana shule pale nika realize that African students without strokes , a're disrespectful, being late at school, they even over joke teachers during lesson hours while seriousness is needed,

They used to throw pieces of chalks at me while writing on board , when you ask they keep laughing, I decided to make investigation on whether other teachers experienced that situation, I found that those who cane, are respected 100% ,

Mwalimu huyo aliyewahi kujitolea akasema hata uingereza wanajuta kufuta kiboko maana nikadhani, nchi za ulaya hawajawah kumchapa mwanafunzi akasema miaka ya nyuma walikuwa wanachapa sana,
Walivyofuta watoto miaka ya 90 waka misbehave mpaka kuingia bungeni na kuwatandika wabunge vichwa, Bunge la uingereza wakasema ama walikosea wasingefuta kabisa viboko wangeleta njia ya kuvitumia kiusahihi,


Hata kwa Tanzania ukitaka kuharibu kizazi hiki futa viboko shuleni,
Mwanafunzi wa Tanzania hajielewi ukisema umpe adhabu ya kufyeka anafurahi maana hataki kuingia darasani,

Nyote ni mashahidi wanafunzi wamekuwa wakiomba walimu wasije ili waendelee kupiga kelele,

Wanafunzi baadhi boarding schools wanapenda umeme kukatika wasiingie darasani usiku, na saa nyingine kuweka chumvi kwenye generators za shule Ili zisiwake wakae nje,

Wanafunzi wanaopenda mwalimu asafiri wakae bila kusoma,

Adhabu pekee inayoogopwa n.a. wanafunzi wa afrika ni kiboko, maana haogopi kufeli kwamba kakosa kipindi kwa kufyeka, hasa ambao bado ni wadogi,

USHAURI AKA WALIMU

Tumieni viboko kwa utaratibu, utampigaje mwanafunzi kwa mpini?

Utampigaje mwanafunzi kichwani?

Utampigaje mwanafunzi viboko zaid ya 10?

Utampigaje mwanafunzi kama nyoka?

Walimu wabaya hutumia nafasi ya viboko shuleni kama kuwakomoa baadhi ya wanafunzi,,
Sasa uwepo utaratibu maalumu wa kuadhibu kwa kutumia viboko so kuvifuta


Tusikilize clip hii kwa yaliyomtokea mwanafunzi aliyekufa bukoba, amepigwa to sana sana sana kwa mipini,.Na kumnyofoa kucha kwa compass, hii haikubaliki,

Tunajua walimu wengi wa siku hizi hawana maadili wanavalia suruali chini ya makalio, waliwahi n.a. wengine bado wanavuta bangi, hawajazaa hawana uchungu, wana visirani, wanataka waonekane wanajua kupiga kushindana,


Mkuu britanicca asante kwa mada hii. Hili ndio swala tunalotakiwa kujadili kwa sasa na sio upuuzi wa watu wanaokuja na mada za kukashifu walimu na kupinga adhabu ya viboko mashuleni .Nikipata muda nitakuja tujadili kwa kirefu.
 
Mkuu britanicca asante kwa mada hii. Hili ndio swala tunalotakiwa kujadili kwa sasa na sio upuuzi wa watu wanaokuja na mada za kukashifu walimu na kupinga adhabu ya viboko mashuleni .Nikipata muda nitakuja tujadili kwa kirefu.
Ndiyo mkuu unajua uwezo wa watanzania kujenga hoja ni mdogo sana, najiuliza au kwakuwa tunatumia synonymous names? Lakin mbona kwingine wanakuwa na hoja yaan forums za nchi nyingine,

Unakuta mtu anatukana tu haleti hoja,
 
mimi kipindi nipo shule adhabu za nje MF kufyeka kufagia ndo nlikua nazipenda sana yaani bora nikae nje nipige story kuliko kuingia darasani lkn sa HV dah najuta

adhabu ya viboko ikiondolewa utakua ni ujinga Mkubwa kuwahi kutokea





yes bishoo haswaaaa
Huhuhu
 
Tufuate utaratibu...
IMG_20180903_000639.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu britanicca asante kwa mada hii. Hili ndio swala tunalotakiwa kujadili kwa sasa na sio upuuzi wa watu wanaokuja na mada za kukashifu walimu na kupinga adhabu ya viboko mashuleni .Nikipata muda nitakuja tujadili kwa kirefu.
Ukatili dhidi ya watoto na wanafunzi haukubaliki.

Nina uhakika hata wewe ni mmojawapo wa walimu wanaotumia viboko kinyume na sheria kwa malengo ya kuwatesa na kuwaadhibu wanafunzi kunakopindukia, na ndio maana unaweweseka unapoona walimu wahuni wanadhibitiwa.

SHERIA YA UTOAJI WA ADHABU YA VIBOKO INAMTAKA MWALIMU MKUU WA SHULE TU ATOE ADHABU YA VIBOKO VISIVYOZIDI VINNE KWA MWANAFUNZI MTOVU WA NIDHAMU.

AMA LA, MWALIMU MKUU ANAWEZA KUKASIMISHA MAMLAKA YAKE KWA UMAKINI MKUBWA KWA MWALIMU YEYOTE ILI ATEKELEZE ADHABU HIYO.

ADHABU YA VIBOKO VISIVYOZIDI VINNE ITATOLEWA KWA KUZINGATIA UMRI, AFYA, NA JINSIA YA MWANAFUNZI.

BAADA YA ADHABU, LAZIMA JINA LA MWANAFUNZI LIREKODIWA KWA MAANDISHI, IDADI YA VIBOKO, NA JINA LA MWALIMU ALIYETOA ADHABU.

UKIUKWAJI WA KANUNI HIZI NDIO UMEMFANYA RESPICIUS PATRICK MTAZANGIRA KUWA NYUMA YA NONDO ZA RUMANDE MPAKA MUDA HUU AKISUBIRI KUPANDISHWA MAHAKAMA KUU KISHA KUSHUGHULIKIWA IPASAVYO KWA KUFANYA MAUAJI YA KIKATILI YA MTOTO SPERIUS ERADIUS.

TAMKO LA NAIBU WAZIRI WA ELIMU, MHESHIMIWA WILLIAM OLE NASHA, LINA MALENGO YA KUSIMAMIA SHERIA YA UTOAJI WA ADHABU YA VIBOKO NA KUWADHIBITI WALIMU WOTE WENYE TABIA ZA KIHUNI.

NA SHERIA LAZIMA IFUATWE.
IMG_20180903_000639.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani
Ukatili dhidi ya watoto na wanafunzi haukubaliki.

Nina uhakika hata wewe ni mmojawapo wa walimu wanaotumia viboko kinyume na sheria kwa malengo ya kuwatesa na kuwaadhibu wanafunzi kunakopindukia, na ndio maana unaweweseka unapoona walimu wahuni wanadhibitiwa.

SHERIA YA UTOAJI WA ADHABU YA VIBOKO INAMTAKA MWALIMU MKUU WA SHULE TU ATOE ADHABU YA VIBOKO VISIVYOZIDI VINNE KWA MWANAFUNZI MTOVU WA NIDHAMU.

AMA LA, MWALIMU MKUU ANAWEZA KUKASIMISHA MAMLAKA YAKE KWA UMAKINI MKUBWA KWA MWALIMU YEYOTE ILI ATEKELEZE ADHABU HIYO.

ADHABU YA VIBOKO VISIVYOZIDI VINNE ITATOLEWA KWA KUZINGATIA UMRI, AFYA, NA JINSIA YA MWANAFUNZI.

BAADA YA ADHABU, LAZIMA JINA LA MWANAFUNZI LIREKODIWA KWA MAANDISHI, IDADI YA VIBOKO, NA JINA LA MWALIMU ALIYETOA ADHABU.

UKIUKWAJI WA KANUNI HIZI NDIO UMEMFANYA RESPICIUS PATRICK MTAZANGIRA KUWA NYUMA YA NONDO ZA RUMANDE MPAKA MUDA HUU AKISUBIRI KUPANDISHWA MAHAKAMA KUU KISHA KUSHUGHULIKIWA IPASAVYO KWA KUFANYA MAUAJI YA KIKATILI YA MTOTO SPERIUS ERADIUS.

TAMKO LA NAIBU WAZIRI WA ELIMU, MHESHIMIWA WILLIAM OLE NASHA, LINA MALENGO YA KUSIMAMIA SHERIA YA UTOAJI WA ADHABU YA VIBOKO NA KUWADHIBITI WALIMU WOTE WENYE TABIA ZA KIHUNI.

NA SHERIA LAZIMA IFUATWE. View attachment 856850

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani nina busara na hekima kukuzidi tena mbali sana. Kwa hiyo hii itakua post yangu ya mwisho ambayo nitakuquote au kujibishana na wewe . Kwa sababu nina uhakika kuwa huelewi kabisa changamoto wanazokutana nazo walimu katika kuelimisha watoto. Na nina uhakika kabisa hielewi sababu zinazochangia mmomonyoko wa maadili. Kwa hiyo sitapoteza muda na wewe tena. Baki na msimamo wako.
 
Nadhani
Nadhani nina busara na hekima kukuzidi tena mbali sana. Kwa hiyo hii itakua post yangu ya mwisho ambayo nitakuquote au kujibishana na wewe . Kwa sababu nina uhakika kuwa huelewi kabisa changamoto wanazokutana nazo walimu katika kuelimisha watoto. Na nina uhakika kabisa hielewi sababu zinazochangia mmomonyoko wa maadili. Kwa hiyo sitapoteza muda na wewe tena. Baki na msimamo wako.
wewe ni mvunja sheria.

kwaio wewe na watoto wako ndo mna maadili sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani
Nadhani nina busara na hekima kukuzidi tena mbali sana. Kwa hiyo hii itakua post yangu ya mwisho ambayo nitakuquote au kujibishana na wewe . Kwa sababu nina uhakika kuwa huelewi kabisa changamoto wanazokutana nazo walimu katika kuelimisha watoto. Na nina uhakika kabisa hielewi sababu zinazochangia mmomonyoko wa maadili. Kwa hiyo sitapoteza muda na wewe tena. Baki na msimamo wako.
Huyo jamaa hajielewi kikubwa ni kumpuuza kama nilivyompuuza mimi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom