Si sahihi kufikiri eti komandoo akiwa mtaani ni kama raia wa kawaida

Wastaafu wa jeshi hasa makomandoo wanapumzishwa tu kwa muujibu wa sheria lakini bado ni reserve army. Inchi ikiingia vitani wanaitwa wote na ukumbuke wanastaafu bado vijana, wenye nguvu na ujuzi wa kutosha.

Kwahiyo siye raia tunaposikitika kwanini makomandoo wapiganaji wa nchi yetu tena wengine wamepata madhara wakilitumikia taifa wanyanyaswe hivyo na hawa polisi Tanzania yasitolewe majibu mepesi mepesi.

Ni uenda wazimu kufikiri commandos mwenye ujuzi kama wote, vifaru, mizinga, mabomu, fighter jets, nt akiwa huku mtaani basi nisawa sawa na machinga . Reference ya kesi ya 1981 ku justify unyanyasaji walofanyiwa hawa vijana pia ni uenda wazimu. Nani asiyejua records za polis kubambikia watu makesi. Nani asiyejua maovu ya jeshi la polis kufanya kazi kinyume na taratibu? Juu ya yote nani asiyejua Magu alikua anaendesha inchi bila kujali utu na haki za watu.
Sasa na wao ilikuaje wakafukuzwa jeshini? Tuanzie hapo kwanza kabla hatujajiuliza ilikuaje akawa rafiki na mbowe
 
Kwa hiyo kwa akili yako, wakijihusisha na ugaidi au ujambazi polisi iwaache hivyo hivyo? Hicho ndicho mlimshauri vip-mwenye kiti wenu awaajiri watu hao kumlinda (VIP Mbowe Protection Squad)?

Kwa taarifa yenu, hakuna aliye juu ya sheria katika nchi hii. Ukijihusisha na uharifu, jeshi la polisi litakushughulikia hata kama wewe una cheo cha ukomandoo au uenyekiti wa chadema.

Halafu kesi iko mahakamani, ni contempt of court (kosa la jinai) kuiongelea hata kama ni kwenye mitandao.
Ugaidi mbona unausema ww, Kingai na Mahita umewasikia wakiutaja,
 
Jeshi la polisi chini ya gaidi kingai lipo imara, halitateteleka kamwe.
Nafikiria SSH alifumue jeshi aweke neutrals from Zbar tunataka IGP from Zbar awe mwenye hofu Mungu msaidizi awe Mwanamama yule kaganda....kama assignment za yule wa takukuru basi ampe IGP Kaganda awe msaidizi wake watende haki....kujikomba kwa kuonea watu sio sawa
 
Wastaafu wa jeshi hasa makomandoo wanapumzishwa tu kwa muujibu wa sheria lakini bado ni reserve army. Inchi ikiingia vitani wanaitwa wote na ukumbuke wanastaafu bado vijana, wenye nguvu na ujuzi wa kutosha.

Kwahiyo siye raia tunaposikitika kwanini makomandoo wapiganaji wa nchi yetu tena wengine wamepata madhara wakilitumikia taifa wanyanyaswe hivyo na hawa polisi Tanzania yasitolewe majibu mepesi mepesi.

Ni uenda wazimu kufikiri commandos mwenye ujuzi kama wote, vifaru, mizinga, mabomu, fighter jets, nt akiwa huku mtaani basi nisawa sawa na machinga . Reference ya kesi ya 1981 ku justify unyanyasaji walofanyiwa hawa vijana pia ni uenda wazimu. Nani asiyejua records za polis kubambikia watu makesi. Nani asiyejua maovu ya jeshi la polis kufanya kazi kinyume na taratibu? Juu ya yote nani asiyejua Magu alikua anaendesha inchi bila kujali utu na haki za watu.
Kwa taarifa yako kila askari akistaafu anabaki kuwa askari wa akiba pale itokeapo vita. Hata Mgambo na wale wa JKT ni askari wa akiba. Neno komando lisiwe kama ni taaluma adimu sanaaaaa. Ni specialty tu.
 
Nafikiria SSH alifumue jeshi aweke neutrals from Zbar tunataka IGP from Zbar awe mwenye hofu Mungu msaidizi awe Mwanamama yule kaganda....kama assignment za yule wa takukuru basi ampe IGP Kaganda awe msaidizi wake watende haki....kujikomba kwa kuonea watu sio sawa
Acha hizo njozi za Uzanzibar na Uzanzibara.
 
ishu hapa ni uelewa tu wa mambo.

reserved army haina maana mpaka kwa waliofukuzwa kwa utovu wa nidhamu au kuzeeka na kuumia.

polisi wanajua wanachokifanya kuliko mihemko ya watu wengikwahiyo yale madudu ya Kutofuata PGO
 
ishu hapa ni uelewa tu wa mambo.

reserved army haina maana mpaka kwa waliofukuzwa kwa utovu wa nidhamu au kuzeeka na kuumia.

polisi wanajua wanachokifanya kuliko mihemko ya watu wengi inavyowaagiza.
toka lini polisi wa tz wakajua wakifanyacho?
 
Kwa taarifa yako kila askari akistaafu anabaki kuwa askari wa akiba pale itokeapo vita. Hata Mgambo na wale wa JKT ni askari wa akiba. Neno komando lisiwe kama ni taaluma adimu sanaaaaa. Ni specialty tu.
Hivi komando hawa sio kama akina Rambo Schwarzenegger basi waachwe wamlinde mbowe wao
 
Tatizo Mabeyo kuingiza jeshi kwenye siasa yeye inajengewa na Magu bonus la mouse pale karibu na beach mlalakuwa unajisahau katika historia ya ma CDF huyu Katie fora kwa sababu yeye ndio mmoja wa watu wananiambia baraza la usalama wa taifa alikuwa haya tunaendelea akubariki hope anafuraha tele
Nishamkumbuka Mwamunyange asee
 
Wastaafu wa jeshi hasa makomandoo wanapumzishwa tu kwa muujibu wa sheria lakini bado ni reserve army. Inchi ikiingia vitani wanaitwa wote na ukumbuke wanastaafu bado vijana, wenye nguvu na ujuzi wa kutosha.

Kwahiyo siye raia tunaposikitika kwanini makomandoo wapiganaji wa nchi yetu tena wengine wamepata madhara wakilitumikia taifa wanyanyaswe hivyo na hawa polisi Tanzania yasitolewe majibu mepesi mepesi.

Ni uenda wazimu kufikiri commandos mwenye ujuzi kama wote, vifaru, mizinga, mabomu, fighter jets, nt akiwa huku mtaani basi nisawa sawa na machinga . Reference ya kesi ya 1981 ku justify unyanyasaji walofanyiwa hawa vijana pia ni uenda wazimu. Nani asiyejua records za polis kubambikia watu makesi. Nani asiyejua maovu ya jeshi la polis kufanya kazi kinyume na taratibu? Juu ya yote nani asiyejua Magu alikua anaendesha inchi bila kujali utu na haki za watu.
Inaumiza sana kwa mashujaa ambao wamelitumikia Taifa lao kwa uaminifu ,kubambikiwa kesi na kufanyiwa unyanyasaji wa aibu.nawapo ngeza sana kwa uvumilivu na utii walioonyesha na kuvumilia mateso.Najua pengne walikuwa na uwezo wa kujitetea lkn walitii sheria Jw huwa wanna nidhamu sana kwa nchi na kwa raia.KAMA NI KWELI
 
Polisi wanajua wanachokifanya? Watu wako kazini hawajui hata PGO watajua kingine wakifanyacho? Acha uongo!
Ni sawa na mchungaji hajui hata Biblia au Shehe hajui Msahafu. Atajuaje hayo mengine?
Kosa la polisi juu ya askari hao wastaafu na waliotumikia nchi tayari limesha leta ufa.

kwani wewe pgo unaijua??

ni sahihi kusema hujui wala huwezi kufanya mambo mengine kwa usahihi!!!!!
 
Hivi walifukuzwa au Ni BATTLE CONFUSION iliwapumzisha wazalendo wetu?!

battle comfusion ni maelezo yake yeye mtuhumiwa,ila ingekuwa hivyo jeshi lisingemwacha mpaka akaajiriwe na mbowe,jeshi lina utaratibu wake wa kutunza wanaopata majanga kazini.sio kuwatupa tu.

swali mi moja kama alikuwa na matatizo kama anavyosema,kwanini mbowe alihitaji kumwajiri mtu huyu mwenye tatizo kiasi fulani???

waliachishwa kazi,tena polisi hawafanyi kazi za aiana hii kama nguruwe,lazina walimtaarifu mwajiriwa wake wa zamani na kupewa green light.
 
Luteni Urio Dennis kwani naye kastaafu? Kwa nini ateswe na polisi wa kawaida? Vyovyote hii kesi,Maisha hayatakuwa kama zamani,tutaheshimiana tu

hapa badala ya wewe kuanza kuogopa usichokijua,ni vyema ujiulize kuna tatizo gani!!!

kifupi nchi inayo mengi yanaendelea,ambayo hayawezi kuamuliwa mahakamani au madhabahuni.
 
ishu hapa ni uelewa tu wa mambo.

reserved army haina maana mpaka kwa waliofukuzwa kwa utovu wa nidhamu au kuzeeka na kuumia.

polisi wanajua wanachokifanya kuliko mihemko ya watu wengi inavyowaagiza.
kwamba mwanajeshi akiwa mtovu wa nidhamu anakuwa siyo mwanajeshi?
 
ishu hapa ni uelewa tu wa mambo.

reserved army haina maana mpaka kwa waliofukuzwa kwa utovu wa nidhamu au kuzeeka na kuumia.

polisi wanajua wanachokifanya kuliko mihemko ya watu wengi inavyowaagiza.
Kama tu PGO hawaijui,watajua nini kingine zaidi?
Muache kutetea ujinga msije kuitwa wajinga.
 
Wastaafu wa jeshi hasa makomandoo wanapumzishwa tu kwa muujibu wa sheria lakini bado ni reserve army. Inchi ikiingia vitani wanaitwa wote na ukumbuke wanastaafu bado vijana, wenye nguvu na ujuzi wa kutosha.

Kwahiyo siye raia tunaposikitika kwanini makomandoo wapiganaji wa nchi yetu tena wengine wamepata madhara wakilitumikia taifa wanyanyaswe hivyo na hawa polisi Tanzania yasitolewe majibu mepesi mepesi.

Ni uenda wazimu kufikiri commandos mwenye ujuzi kama wote, vifaru, mizinga, mabomu, fighter jets, nt akiwa huku mtaani basi nisawa sawa na machinga . Reference ya kesi ya 1981 ku justify unyanyasaji walofanyiwa hawa vijana pia ni uenda wazimu.

Nani asiyejua records za polis kubambikia watu makesi. Nani asiyejua maovu ya jeshi la polis kufanya kazi kinyume na taratibu? Juu ya yote nani asiyejua Magu alikua anaendesha inchi bila kujali utu na haki za watu.
Eti unataka kuchonganganisha jeshi na Polisi , sidhani wewe ulishawahi kupitia jeshi na ukajua nini jeshi linafanya .
 
Back
Top Bottom