Si Real Madrid, Barcelona na Bayern Munich tena. Sasa ni Juventus, Man City na BvB

Ziroseventytwo

JF-Expert Member
Mar 27, 2011
7,971
13,605
Soka linalopigwa na BvB, Manchester city na Juventus Turin kwa sasa pale ulaya ni bora na zuri. Zile zama za kina Barcelona na Real Madrid zimefika mwisho.

Kwa mtu aliyeangalia game za Juventus, Man city na BvB kwa siku za karibuni ataelewa nini namaanisha.

Poleni Barcelona, poleni Real Madrid, Poleni Bayern Munich.
 
Soka linalopigwa na BvB, Manchester city na Juventus Turin kwa sasa pale ulaya ni bora na zuri. Zile zama za kina Barcelona na Real Madrid zimefika mwisho.

Kwa mtu aliyeangalia game za Juventus, Man city na BvB kwa siku za karibuni ataelewa nini namaanisha.

Poleni Barcelona, poleni Real Madrid, Poleni Bayern Munich.
Umeanza matunguli mapema sana, ManCity watoe katika Champions League, Guardiola anamfumo ambao kufungika ni rahisi sana, hafu kumbuka Champs league huwa inatoa surprise kila mwaka
 
Soka linalopigwa na BvB, Manchester city na Juventus Turin kwa sasa pale ulaya ni bora na zuri. Zile zama za kina Barcelona na Real Madrid zimefika mwisho.

Kwa mtu aliyeangalia game za Juventus, Man city na BvB kwa siku za karibuni ataelewa nini namaanisha.

Poleni Barcelona, poleni Real Madrid, Poleni Bayern Munich.
Juventus ya msimu huu sio bora kama ya misimu iliyopita pamoja na kuongeza mchezaji bora. Sijui tatizo ni kocha anashindwa kuwatumia vizuri wachezaji wake, mfumo au kitu gani. Yaani wanafungika kiurahisi sana na safu yao ushambuliaji hawana umakini kwenye umaliziaji. Juventus hii ni juventus nyepesi kuliko misimu iliyopita
 
Juventus ya msimu huu sio bora kama ya misimu iliyopita pamoja na kuongeza mchezaji bora. Sijui tatizo ni kocha anashindwa kuwatumia vizuri wachezaji wake, mfumo au kitu gani. Yaani wanafungika kiurahisi sana na safu yao ushambuliaji hawana umakini kwenye umaliziaji. Juventus hii ni juventus nyepesi kuliko misimu iliyopita
Hapana mkuu. Wapo vizuri kuliko msimu uliopita. Na inaonekana wamejipanga kushindana ulaya. Washachoshwa na scudetto. Nadhani ni misimu sita mfululizo wamechukua.

Sasa ni zamu ya kupambana ulaya.
 
Hapana mkuu. Wapo vizuri kuliko msimu uliopita. Na inaonekana wamejipanga kushindana ulaya. Washachoshwa na scudetto. Nadhani ni misimu sita mfululizo wamechukua.

Sasa ni zamu ya kupambana ulaya.
Ngoja tuone mkuu safari yao itaishia wapi.
 
Supper Blanco's kwangu bado ni team bora zidi,ukitaja wachezaji bora kwa sasa wa Dunia huwezi kuacha wachezaji angalau 5,hata msimu uliopita baada ya kufungwa na spurs walibeza sana
wachezaji wao wametumika sana wanahitaji kupata mchezaji wa kuasmha hasa baada ya kuondoka kwa CR7 ,wakipata mtu kama Hazard au Mbappe bado ni watu wa kuogopa
 
Barce weka mbali na watoto, kufungwa na betis co mwisho wao..this sizon 2nabeba uefa chini ya mfalme wa soka king lapruga
 
Back
Top Bottom