Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,316
- 24,179
Marehemu haongelewi vibaya karabia katika mila zote za kiafrika.
Lakini marehemu kama alitenda mabaya bila kuyasahihisha kabla ya kufariki, katika mila zetu, roho hake hailali kwa amani.
Inaendelea kutanga tanga hapa duniani hadi asamehewe na ukweli ujulikane.
Nauliza tu, nani alimpoteza Ben Saanane?
Nani alipanga kumwua Tundu Lissu
Pamoja na makosa yake Azory Gwanda kafa au mzima?
Kuna wazee wetu wamefungwa kwa hila mfano Shamte wa Tanga aliyefia gerezani.
Hapa hata kama una mikono yenye harufu ya roho moja tu, utalalaje kwa amani?
Lakini marehemu kama alitenda mabaya bila kuyasahihisha kabla ya kufariki, katika mila zetu, roho hake hailali kwa amani.
Inaendelea kutanga tanga hapa duniani hadi asamehewe na ukweli ujulikane.
Nauliza tu, nani alimpoteza Ben Saanane?
Nani alipanga kumwua Tundu Lissu
Pamoja na makosa yake Azory Gwanda kafa au mzima?
Kuna wazee wetu wamefungwa kwa hila mfano Shamte wa Tanga aliyefia gerezani.
Hapa hata kama una mikono yenye harufu ya roho moja tu, utalalaje kwa amani?