Marine creature
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 2,264
- 2,957
Jamaq lishakunywa buzaaa limeamua kuja kutufokea huku...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijawahi kuona mtu kafa kisa hajaoa
ila tumeona wengi wamekufa kisa walikosea kuoa
Ukitaka mke mwema hakikisha nawe ni mwema.Sali Sana upate mke mwema. Vinginevyo utachakaa
Nakazia wangese sanaWanaume waliooa wanajua kuombea na kushauri wenzao waingie, Wapo kama jamaa wa Qnet tu. Wana upendo sana na wenye kupenda kushare fursa na wenzao, Wanataka wote tutajirike.
AiseeUsitusemee
Jisemee wewe ndio utaoa
Ni mwendo wa kuzalisha tu tupate angalau warisi au wa kuwatuma maji
Dada etiii, njoo nikupige pipe..ndio uelewwMbona unalia lia sana dada? Kwani bado tu hujaolewa mpaka Leo?
Na tukishaona oa tuachanana tu tutake tusitake hii ni formulaKijana husika na kichwa hapo juu.
Kumekuwa na wimbi kubwa Sana la vijana wa kileo nikiwemo Mimi kwamba katutaki kuoa kutokana na masekeseke mengi waliyonayo hawa mademu.
Ila ukweli mchungu ni kwamba tutaoa Tu.. tutake tusitake tujiandae tu Kwa hilo hakuna namna sasa.
Narudia tena... TUTAKE TUSITAKE TUTAOA TUUU.
NI WAY OUT.
Kama ilivyoAisee
Acha woga kijana utu uzima dawa usiogope kuvaa bomuKwakweli vijana msioe, tafuta watoto ufanye mambo yako yatakupa furaha, kuoa ni kujivika mabomu makubwa sana na kujisogeza karibu na kifo, hata Wanasayansi wakubwa wenye akili timamu hawakuoa, if you want to achieve grater things tafuta mwanamke mwenye akili au usioe kabisa...
Pitapita zangu baada ya shughuli nimekaa na mwana mmoja tunapanga mipango bodaboda ikashuka imebeba mdada mida ya saa 12 jioni, nikamwambia boda akirudi anipitie...
Alivyorudi akanambia broo unajua nini? Nikamjibu sijui!!! Broo sidhani kama nitaoa nikamuuliza kwanini huyu binti amekuja sokoni kuemea buhongwa hapo akapigiwa simu na hawara yake akaacha kapu la mboga kwa muuza mboga akadaka boda chap ili hawai kuchezea kongamano. Then kamwambia boda baada ya d.k 15 atampigia amfate amchukue.....
nikwamwambia boda wazo lako ni sahii imagine hapo mwanamke anarudi home mkavuuu kabeba kapu la mboga kumbe katoka kuchezea "boloyang"
Kuoa ni kujivika mabomu kudadeki
Kumbe unaishi buhongwaKwakweli vijana msioe, tafuta watoto ufanye mambo yako yatakupa furaha, kuoa ni kujivika mabomu makubwa sana na kujisogeza karibu na kifo, hata Wanasayansi wakubwa wenye akili timamu hawakuoa, if you want to achieve grater things tafuta mwanamke mwenye akili au usioe kabisa...
Pitapita zangu baada ya shughuli nimekaa na mwana mmoja tunapanga mipango bodaboda ikashuka imebeba mdada mida ya saa 12 jioni, nikamwambia boda akirudi anipitie...
Alivyorudi akanambia broo unajua nini? Nikamjibu sijui!!! Broo sidhani kama nitaoa nikamuuliza kwanini huyu binti amekuja sokoni kuemea buhongwa hapo akapigiwa simu na hawara yake akaacha kapu la mboga kwa muuza mboga akadaka boda chap ili hawai kuchezea kongamano. Then kamwambia boda baada ya d.k 15 atampigia amfate amchukue.....
nikwamwambia boda wazo lako ni sahii imagine hapo mwanamke anarudi home mkavuuu kabeba kapu la mboga kumbe katoka kuchezea "boloyang"
Kuoa ni kujivika mabomu kudadeki
Wewe utakuwa unaishi mkolani.Kumbe unaishi buhongwa
Hapana niko morogoro huku nimekuja kitaa kuwasabahi marafiki, California ndio homeKumbe unaishi buhongwa
Ooh SawaHapana niko morogoro huku nimekuja kitaa kuwasabahi marafiki, California ndio home
Sasa kuna maana gani ya kuoa?Bahati nzuri mume wake hatojua. That's all matters ili ndoa idumu.