Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 5,797
- 13,038
- Thread starter
- #21
Now days...Sasa kama hao wameoa Malaya wasiojua kujistiri nyuchi zao ndo ugeneralize wanaume wote wasioe?
Kuna wanawake watulivu na wapo wengi tu
Halafu ukiongelea ndoa unabase zaidi upande wa wanawake kama bidhaa vile,hao pia walifanya maamuzi waolewe ama wasiolewe,hawakubebwa tu kama magunia na kuwekwa ndani.so ukute hata huo upande mwingine wanaume nao wanafanya yao wanasaliti ndoa mbona huwaongelei?
Mi nkianza hapa jamani msiolewe nkaanza kutolea mifano ya wanaume wanavosaliti patatosha?
Ukute hao wanaokula wake za watu hapo nao pia wameoa wameacha wake huko nyumbani,na wake huko nao wanakiendeleza..huu mzunguko utaumaliza?
Tafakari yako ya wengineo hutayamaliza
Ni nyakati za uovu,mabaya yametawala lakini mema pia yapo.
Women are hungry for money.
Men are hungry for pussy.
Kwenye haya mapenzi ya sasa kila mtu akija kwako ujue Kuna jambo kafata then Chunga sanaa.
"Ukiona boya kapendwa ujue Kuna fala katendwa"
Jali maisha yako achana na ya wengine.
#YNWA