alexelias
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,032
- 3,198
Kuna upotoshaji mkubwa unaenezwa eti mfumo wa vyama vingi ni lidhio la waTz;si kweli!
Raia wengi wa nchi hii walipiga kura ya kuendelea na mfumo wa chama kimoja.Ni fadhila tu za baba wa Taifa Mwl Nyerere aliposhauli tuwe na mfumo wa vyama vingi.
Kwa hiyo hizo ni fadhila na hakuna no inayoonyesha nchi hii na wananchi wake walilidhia jambo hilo.
Lkn no zipo zioneshazo wa Tz hawakutaka mfumo wa vyama vingi.
Raia wengi wa nchi hii walipiga kura ya kuendelea na mfumo wa chama kimoja.Ni fadhila tu za baba wa Taifa Mwl Nyerere aliposhauli tuwe na mfumo wa vyama vingi.
Kwa hiyo hizo ni fadhila na hakuna no inayoonyesha nchi hii na wananchi wake walilidhia jambo hilo.
Lkn no zipo zioneshazo wa Tz hawakutaka mfumo wa vyama vingi.