Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,736 155,419 Jan 29, 2010 #1 Wakazi wa Banana Kata ya Kipawa wakiangalia mtaro mkubwa uliochimbwa na mfanyabiashara wa eneo hilo na kuzuia magari yanayoegeshwa kituoni hapo.
Wakazi wa Banana Kata ya Kipawa wakiangalia mtaro mkubwa uliochimbwa na mfanyabiashara wa eneo hilo na kuzuia magari yanayoegeshwa kituoni hapo.
FirstLady1 JF-Expert Member Jul 29, 2009 16,792 5,373 Jan 29, 2010 #2 na watu wanavyoamua kufanya mambo bila plan nchi iko mtelemko sana hii
Pape JF-Expert Member Dec 11, 2008 5,488 79 Feb 1, 2010 #3 hiyo inaweza leta maafa kwa raia wema....miguu kwachuu...
Sinkala JF-Expert Member Dec 22, 2008 1,773 683 Feb 1, 2010 #4 Sijaelewa. Naomba relation ya Kipawa na huo mtaro wa Banana