Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,197
- Thread starter
- #21
Kwa hiyo mwenye mawazo tofauti na hoja ya kuwa tumepiga hatua kimaendeleo chini ya JPM ni KICHWA PANZI?
Hapana mwenye mawazo tafauti sio kichwa cha panzi, ni halali kuwa na mawazo tofauti na kukosoa. Mkubwa naomba unielewe vizuri. Hoja yangu kuu ni kuwa we have made some progress, tofauti na wanaosema kuwa mambo mabaya. Nakubali kuwa kuna matatizo, hata mimi nayaona na naweza kuyataja, lakini pia naona baadhi ya mambo ambayo nilikuwa mkosoaji mkubwa wa awamu iliyopita yamefanyiwa kazi. Kwa hiyo kusema hakuna lililofanyika sio sahihi kabisa.
Mawazo tofauti ni halali, lakini yawe na facts. Kupinga ni halali lakini kule na basis.