Si kila mbunge/kiongozi wa Chadema ni mzuri: na si kila mbunge/kiongozi wa CCM ni mbaya

Synthesizer

JF-Expert Member
Feb 15, 2010
11,143
18,774
Nimesema mara kadhaa, mie sina chama, lakini napenda kuona Tanzania ikiendelea, bila kujali CCM au Chadema ndio wanaoshika serikali.

Nimelaani sana U-CCM na U-Chadema unaoshika kasi nchini, nikisema ni huo ni mbaya na twapaswa kuulani kama tunavyolaani U-dini katika nchi yetu. U-CCM na U-Chadema unaligawa taifa hili na kuleta chuki zisizo za msingi. Hatari za U-dini katika nchi hazina tofauti na hatari za U-Chama.

Nawaomba watanzania wenzangu, tuwe na utambuzi kwamba si kila Mbunge wa au Kiongozi wa CCM ni mbaya na fisadi au gamba. Wapo walio wazuri na wazalendo wa kweli ndani ya CCM.

Na pia si kila Mbunge au kiongozi wa Chadema ni suluhisho la kuleta mageuzi kwa nchi yetu, wapo ambao ni mizigo ambayo haistahili kuwa na uongozi ndani ya Chadema.

Sasa swali ni kwamba, hivi haiwezekani sisi kama Watanzania, bila kujali tuko chama gani, kutoa sifa panapostahili, na kuona uozo panaponuka?

Akili gani tunaonyesha, ikiwa uozo tunaona ni manukato, au manukato tunaona ni uozo, kwa kuwa tu tuko chama fulani?
 
Narudia tena kuanisha wanachama wa Magamba
kuna aina mbili za wanamagamba

  • Aina ya kwanza, watu wabinafsi kupita kiasi, watu ambao wako kimaslahi zaidi. watu hawa wako tayari kushuhudia ndugu zao wa karibu wanakufa ili mradi wao wanafaidi keki ya nchi hii kiurani na peke yao. Kundi hili linaongozwa na akina Nape, Sitta, Mwakyembe, Ncemba, Lowasa,Kikwete, nk.
  • Aina ya pili ni watu wajingawajinga. watu hawa hajui kwa nini ni wanamagamba. Wapowapo tu kwa sababu ama wamezaliwa na kukuta magamba duniani au wakuwa duniani tangu magamba yalipoanzisha chama hicho
 
Nimesema mara kadhaa, mie sina chama, lakini napenda kuona Tanzania ikiendelea, bila kujali CCM au Chadema ndio wanaoshika serikali.

Nimelaani sana U-CCM na U-Chadema unaoshika kasi nchini, nikisema ni huo ni mbaya na twapaswa kuulani kama tunavyolaani U-dini katika nchi yetu. U-CCM na U-Chadema unaligawa taifa hili na kuleta chuki zisizo za msingi. Hatari za U-dini katika nchi hazina tofauti na hatari za U-Chama.

Nawaomba watanzania wenzangu, tuwe na utambuzi kwamba si kila Mbunge wa au Kiongozi wa CCM ni mbaya na fisadi au gamba. Wapo walio wazuri na wazalendo wa kweli ndani ya CCM.

Na pia si kila Mbunge au kiongozi wa Chadema ni suluhisho la kuleta mageuzi kwa nchi yetu, wapo ambao ni mizigo ambayo haistahili kuwa na uongozi ndani ya Chadema.

Sasa swali ni kwamba, hivi haiwezekani sisi kama Watanzania, bila kujali tuko chama gani, kutoa sifa panapostahili, na kuona uozo panaponuka?

Akili gani tunaonyesha, ikiwa uozo tunaona ni manukato, au manukato tunaona ni uozo, kwa kuwa tu tuko chama fulani?

Viloba ni noma, mbaya zaidi mchana huu, simple achana na mambo ya siasa tu, ushabiki wa cghama huwezi kuuzuia ni kama timu za mpira, mziki ...piga chini ka inakuuma.
 
Narudia tena kuanisha wanachama wa Magamba
kuna aina mbili za wanamagamba

  • Aina ya kwanza, watu wabinafsi kupita kiasi,
  • Aina ya pili ni watu wajingawajinga.

Mkuu Makyomwango, nimekusikia. Wasiwasi wangu ni kwamba, tunajuaje kwamba watu wa namna hiyo hawajajipenyeza ndani ya Chadema? Tunajuaje kwamba Chadema wakichukua nchi hatutakuwa na watu wa namna ile ile ambao ni tatizo katika CCM kwa sasa, na wakawa ni tatizo kwa wakati huo?

Ndio maana ninasema tusifuate suala la kuchagua mtu kwa kuwa yuko kwenye chama tunachokipenda.
 
Viloba ni noma, mbaya zaidi mchana huu, simple achana na mambo ya siasa tu, ushabiki wa cghama huwezi kuuzuia ni kama timu za mpira, mziki ...piga chini ka inakuuma.

Pompo, nadhani hujaona nilichosema Mkuu. Mie kwenye siasa sipo, kwa sababu siwezi kuvumilia na kukubali pumba kwa kuwa tu zinatolewa na "mtu wetu". Kwangu pumba ni pumba tu, ziwe za CCM au Chadema.
 
Nimesema mara kadhaa, mie sina chama, lakini napenda kuona Tanzania ikiendelea, bila kujali CCM au Chadema ndio wanaoshika serikali.

Nimelaani sana U-CCM na U-Chadema unaoshika kasi nchini, nikisema ni huo ni mbaya na twapaswa kuulani kama tunavyolaani U-dini katika nchi yetu. U-CCM na U-Chadema unaligawa taifa hili na kuleta chuki zisizo za msingi. Hatari za U-dini katika nchi hazina tofauti na hatari za U-Chama.

Nawaomba watanzania wenzangu, tuwe na utambuzi kwamba si kila Mbunge wa au Kiongozi wa CCM ni mbaya na fisadi au gamba. Wapo walio wazuri na wazalendo wa kweli ndani ya CCM.

Na pia si kila Mbunge au kiongozi wa Chadema ni suluhisho la kuleta mageuzi kwa nchi yetu, wapo ambao ni mizigo ambayo haistahili kuwa na uongozi ndani ya Chadema.

Sasa swali ni kwamba, hivi haiwezekani sisi kama Watanzania, bila kujali tuko chama gani, kutoa sifa panapostahili, na kuona uozo panaponuka?

Akili gani tunaonyesha, ikiwa uozo tunaona ni manukato, au manukato tunaona ni uozo, kwa kuwa tu tuko chama fulani?

Synthesizer,

..lakini CCM wamekuwa madarakani for 40+ years and they have nothing to show for that. ndiyo maana wengine tunaona hakuna mtu wa maana aliyepo ndani ya CCM. hakuna mwana CCM mwenye ujasiri wa kusema CCM wana matatizo, wakati umefika wajirekebishe. wapo ambao wamejaribu lakini baadaye inagundulika kuwa ni nguvu ya soda, au maslahi binafsi.

..kwa upande wa CDM wao hawajashika madaraka bado. pia they came to the picture baada ya uchaguzi wa 2005, na zaidi wanakubalika kutokana na uzembe na ufisadi wa CCM. at least hawa tunaweza kuwapa the benefit of doubt.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Unajua sasa hivi hii nchi tuko kama libya, egypt, kwamba watu wameshachoka na CCM mpaka basi na ukweli ni kwamba ndio kuna viongozi safi ndani ya CCM lakini brand imeshaharibika..

Unajua chama kina image ni kama kampuni, ndio maana mtu anafukuzwa kazi kwenye kampuni kama anachafua brand ya kampuni sasa CCM as a brand yaani iko below zero!!
 
Back
Top Bottom