Blue G
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 5,335
- 3,652
Sijui sana labda ndio kwenda na wakati au mimi ni mshamba.
Kuna tabia imezuka sana kwa sasa tabia ya kutaja hadhrani viungo vya siri au sehemuza siri au matendo yanayopaswa kufanywa sirini bila yeyote kujua isipokuwaninyi wawili mnaoyafanya.
Siku hizi imekuwa ni kawadia ya watu kuongelea vitu au mambokama hayo hadharani tena bila tafsida wala kificho chochote,tena wakatimwingine hata mbele ya watoto zao au hata wa majirani,huenda kuna ugomvi umetokea na hivyo watu kuanzakurushiana maneno makali kama hayo au stori zinapigwa watu wanajisemea tu kilakitu bila tafsida,utakuta k**a wewe m** wewe au kama ni stori utakuta jamaa ana***a huyo au binti ana*****wa huyohapo ni stori zinapigwa na mtu anaonakawaida kabisa wala haoni taabu na hata ukithubutu kumuuliza au kumwambiamwenzangu vipi anakujibu kwani nini usichokijua?nini cha ajabu?au nini kigeni? wehufanyagi hayo mambo?
Na mimi nasema sawa hata kama tunayafanya au viungo hivyotunavyo tunavitaja ili iweje na pengine hata mbele za watoto jiulize haya:
1.Kwa nini hujawahi kufanya mambo unayoyafanya sirinibarabarani tena mchana kweupe?unaogopa nini kama ni vitu vya kawaida?
2.Kwa nini tunavaa nguo basi kama viungo hivyo ni kawadia nakila mtu anavyo,si tutembee uchi sasa kama ni kawaida?tunaficha nini?
3.Mbona basi tafsida ziliwekwa?ziliwekwa ili iweje ikiwaviungo au mambo hayo ni ya kawadia kabisa na yanafaa kutamkwa hadharani?
4.Ukimkuta mwanao anayatamka maneno kamahayo,utajisikiaje?utamwacha?kama ukimchapa kwa nini umchape wakati ni yakawaida sana?
5.Kwa nini tunapotaka kujisaidia,kustarehesha miiliyetu(wakubwa mnanielewa)tunatafuta sehemu iliyo tulivu na isiyo na watu nakufanya mambo hayo?wakati mwingine hatutaki hata watoto wawepo,tunasubiri wawewamelala au wameenda shuleni?kwa nini hatufanyi hadharani mbele za wageniwaliotutembelea au hata mashosti wetu tunaopiga nao stori?
Kama kuongea ni kawaida basi na kuyafanya tuwe tunayafanyahadharani basi kila mtu awe anatushudia na tusiwe tunavaa nguo basi ilituviache viungo vyetu vionekane na kila mtu,si ni kawaida na si kila mtu anavyo?
Wana mmu mnasemaje manafikiri ni sawa kufanya hivyo?kwamisingi ipi?mnafikiri nini kinaweza kufanyika kuepusha kizazi kinachokuja kuwakibaya zaidi kwa kujiongelea chochote bila haya wala kusutwa na nafsi?
Ni hayo tu wana MMU nawasilisha karibuni tujadili kwa pamoja.
Kuna tabia imezuka sana kwa sasa tabia ya kutaja hadhrani viungo vya siri au sehemuza siri au matendo yanayopaswa kufanywa sirini bila yeyote kujua isipokuwaninyi wawili mnaoyafanya.
Siku hizi imekuwa ni kawadia ya watu kuongelea vitu au mambokama hayo hadharani tena bila tafsida wala kificho chochote,tena wakatimwingine hata mbele ya watoto zao au hata wa majirani,huenda kuna ugomvi umetokea na hivyo watu kuanzakurushiana maneno makali kama hayo au stori zinapigwa watu wanajisemea tu kilakitu bila tafsida,utakuta k**a wewe m** wewe au kama ni stori utakuta jamaa ana***a huyo au binti ana*****wa huyohapo ni stori zinapigwa na mtu anaonakawaida kabisa wala haoni taabu na hata ukithubutu kumuuliza au kumwambiamwenzangu vipi anakujibu kwani nini usichokijua?nini cha ajabu?au nini kigeni? wehufanyagi hayo mambo?
Na mimi nasema sawa hata kama tunayafanya au viungo hivyotunavyo tunavitaja ili iweje na pengine hata mbele za watoto jiulize haya:
1.Kwa nini hujawahi kufanya mambo unayoyafanya sirinibarabarani tena mchana kweupe?unaogopa nini kama ni vitu vya kawaida?
2.Kwa nini tunavaa nguo basi kama viungo hivyo ni kawadia nakila mtu anavyo,si tutembee uchi sasa kama ni kawaida?tunaficha nini?
3.Mbona basi tafsida ziliwekwa?ziliwekwa ili iweje ikiwaviungo au mambo hayo ni ya kawadia kabisa na yanafaa kutamkwa hadharani?
4.Ukimkuta mwanao anayatamka maneno kamahayo,utajisikiaje?utamwacha?kama ukimchapa kwa nini umchape wakati ni yakawaida sana?
5.Kwa nini tunapotaka kujisaidia,kustarehesha miiliyetu(wakubwa mnanielewa)tunatafuta sehemu iliyo tulivu na isiyo na watu nakufanya mambo hayo?wakati mwingine hatutaki hata watoto wawepo,tunasubiri wawewamelala au wameenda shuleni?kwa nini hatufanyi hadharani mbele za wageniwaliotutembelea au hata mashosti wetu tunaopiga nao stori?
Kama kuongea ni kawaida basi na kuyafanya tuwe tunayafanyahadharani basi kila mtu awe anatushudia na tusiwe tunavaa nguo basi ilituviache viungo vyetu vionekane na kila mtu,si ni kawaida na si kila mtu anavyo?
Wana mmu mnasemaje manafikiri ni sawa kufanya hivyo?kwamisingi ipi?mnafikiri nini kinaweza kufanyika kuepusha kizazi kinachokuja kuwakibaya zaidi kwa kujiongelea chochote bila haya wala kusutwa na nafsi?
Ni hayo tu wana MMU nawasilisha karibuni tujadili kwa pamoja.