Allency
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 13,628
- 13,050
Mkuu acha kuwa na roho ya kimasikini kiasi hicho(samahani lakini), so unataka wakazi wa kigamboni wote wawe kama wewe(maskini)? Kama wodi za wamama na zinginezo ni kipaumbele je tuna sababu gani ya kujenga daraja la pale salenda?Ndio maana nikasema, hoja yako iwe ni namna gani pesa zinaweza kutengwa kwa ajili ya kuwalipa NSSF, lakini pia tambua kuna vipaumbele, kweli tuache kuboresha wodi za wamama wajawazito tuanze kutafuta bilioni 200 za kuwapa NSSF ili wewe ulieenda kuishi Kigamboni na kuacha kwingine kote kwa hiari yako, na unagari lako binafsi, usilipe 3,000/= kwa siku wakati umeweza kuweka mafuta, na kama ungepanda daladala hulipi kitu