Si dhambi kama taifa kuwapa uraia kina Mayele, Mukoko, Bangala kuitumikia Taifa Stars

JOYOPAPASI

JF-Expert Member
Jan 10, 2016
250
408
SI DHAMBI KAMA TAIFA TUKIANZA MJADALA WA KUWAPA URAIA KINA MAYELE, MUKOKO, MBANGALA NK KUITUMIKIA TAIFA STARS

Binafsi Mimi ni Shabiki wa Yanga, ila Naomba wakati najadili haya naomba muweke ushabiki wangu pembeni, nimekuwa moja ya wafuatililiaji, washabiki wa timu yetu ya Taifa kindakindaki TAIFA STARS.

Nimekuwa moja ya Washabiki wake, ambaye ninaenda kuitizama timu yetu kwa kukata tamaa, pamoja Kuwa kuna baadhi ya namba na sehemu timu yetu imekuwa ikifanya vizuri, Lakini bado ina matokeo yasiyoridhisha.

NINI KIFANYIKE KWA SISI WATANZANIA, TFF NA TAIFA KWA UJUMLA
Pia nimekuwa naangalia mchezaji mmoja mmoja katika timu za vilabu, nikajikuta naishia kuiangalia Yanga kwa umakini mkubwa, Timu ya Yanga imebarikiwa Kuwa na wachezaji wazuri sana wa kila eneo tatizo wengi wamekuwa si watanzania na ambao hawaitwi timu zao za taifa, nikaona makala hii tushauriane.

Nikiwaangalia wachezaji wachache kama MAYELE, Mukoko Tonombe, Bangala, Yakoub, nk nikaona tushauriane kama taifa kwani si dhambi, kwangu mimi ninaishauri TFF kama kweli wana nia njema na mpira wetu, basi wakutane haraka na kamati ya ushindi iliyoundwa na Waziri Mkuu wawaite wachezaji hao na wengine waone kama wana uwezo wa kuwapa uraia kama Kibu Denis ili yajayo waitumikie timu yetu ya Taifa.

Kwangu mimi nikiwaangalia wachezaji wetu wa nyuma, kati na Mbele tukiwaongeza wachezaji hao naamini tutafanya vizuri vizuri na kuwapa Raha watanzania wengi wenye mapenzi makubwa na timu yao ya taifa.

Naomba kuwasilisha na #KaziIendeleeNaRSSH
IMG_20211113_085727_003.jpg
 
Kama timu yao ya taifa ya Congo haijawaita inawaona hawafai,kivipi Tanzania tuwaone wanafaa!
Viwango mzee.. huyo gael kakuta angekuwa timu ya taifa ufaransa angemuita nani, ila kongo anafaa, sakho bonge la player ila pale national team kuitwa changamoto.. yule yule chama fundi hapa angekuwa ni kutoka nigeria timu ya taifa angeisikia kwenye bomba, ila kwa tz anafaa saana..

Turudi kwenye mada ya msingi, bongo tuna vipaji vingi mnoo, ila changamoto mfumo wetu, ukimuangalia erasto nyoni, ukaja kumtizama phil jones kitu gani kinakuja kichwani mwako?
Fei toto ana kipaji murua kabisa, lakini kila siku anapambana na kina mzamiru, mudathiri sijui ally makarani unategemea atakuwa sawa kama angekuwa anapambana na kina ngolo kante uingereza, ama ligue 1 ufaransa, ama hata kule eredevise au uturuki na ureno..

Kwa vipaji tulivyo navyo inabidi tupambane vitoke hapa.. kwanza vilelewe vyema kisha ndio vitoke hapa.. dickson job bonge moja la beki ila hatokuwa zaidi kiwango akibaki hapa, wale wenzie sijui wako wapi, kibabage karudi hapa, nkomola ndio yupo ukraine.

Kama taifa hatuna malengo madhubuti tunataka zali la mentali, tunaishia kuwa zari ze bosi ledi.
 
Ni lazima wao wenyewe kwanza wautake uraia wa Tanzania. Sio kulazimishana uraia
 
Viwango mzee.. huyo gael kakuta angekuwa timu ya taifa ufaransa angemuita nani, ila kongo anafaa, sakho bonge la player ila pale national team kuitwa changamoto.. yule yule chama fundi hapa angekuwa ni kutoka nigeria timu ya taifa angeisikia kwenye bomba, ila kwa tz anafaa saana..

Turudi kwenye mada ya msingi, bongo tuna vipaji vingi mnoo, ila changamoto mfumo wetu, ukimuangalia erasto nyoni, ukaja kumtizama phil jones kitu gani kinakuja kichwani mwako?
Fei toto ana kipaji murua kabisa, lakini kila siku anapambana na kina mzamiru, mudathiri sijui ally makarani unategemea atakuwa sawa kama angekuwa anapambana na kina ngolo kante uingereza, ama ligue 1 ufaransa, ama hata kule eredevise au uturuki na ureno..

Kwa vipaji tulivyo navyo inabidi tupambane vitoke hapa.. kwanza vilelewe vyema kisha ndio vitoke hapa.. dickson job bonge moja la beki ila hatokuwa zaidi kiwango akibaki hapa, wale wenzie sijui wako wapi, kibabage karudi hapa, nkomola ndio yupo ukraine.

Kama taifa hatuna malengo madhubuti tunataka zali la mentali, tunaishia kuwa zari ze bosi ledi.
Umetumia nguvu kubwa kumuelewesha
 
SI DHAMBI KAMA TAIFA TUKIANZA MJADALA WA KUWAPA URAIA KINA MAYELE, MUKOKO, MBANGALA NK KUITUMIKIA TAIFA STARS

Binafsi Mimi ni Shabiki wa Yanga, ila Naomba wakati najadili haya naomba muweke ushabiki wangu pembeni, nimekuwa moja ya wafuatililiaji, washabiki wa timu yetu ya Taifa kindakindaki TAIFA STARS.

Nimekuwa moja ya Washabiki wake, ambaye ninaenda kuitizama timu yetu kwa kukata tamaa, pamoja Kuwa kuna baadhi ya namba na sehemu timu yetu imekuwa ikifanya vizuri, Lakini bado ina matokeo yasiyoridhisha.

NINI KIFANYIKE KWA SISI WATANZANIA, TFF NA TAIFA KWA UJUMLA.
Pia nimekuwa naangalia mchezaji mmoja mmoja katika timu za vilabu, nikajikuta naishia kuiangalia Yanga kwa umakini mkubwa, Timu ya Yanga imebarikiwa Kuwa na wachezaji wazuri sana wa kila eneo tatizo wengi wamekuwa si watanzania na ambao hawaitwi timu zao za taifa, nikaona makala hii tushauriane.

Nikiwaangalia wachezaji wachache kama MAYELE, Mukoko Tonombe, Bangala, Yakoub, nk nikaona tushauriane kama taifa kwani si dhambi, kwangu mimi ninaishauri TFF kama kweli wana nia njema na mpira wetu, basi wakutane haraka na kamati ya ushindi iliyoundwa na Waziri Mkuu wawaite wachezaji hao na wengine waone kama wana uwezo wa kuwapa uraia kama Kibu Denis ili yajayo waitumikie timu yetu ya Taifa.

Kwangu mimi nikiwaangalia wachezaji wetu wa nyuma, kati na Mbele tukiwaongeza wachezaji hao naamini tutafanya vizuri vizuri na kuwapa Raha watanzania wengi wenye mapenzi makubwa na timu yao ya taifa.

Naomba kuwasilisha na #KaziIendeleeNaRSSHView attachment 2008740
Ishu ni Tanzania kuwa na uraia pacha,hapo mchezaji anaweza akakubali uraia pacha na asipoitwa kwao anaweza akachezea taifa stars ,ni uamuzi wake kuchagua upande ,ila huu uraia wa Sasa mtu kuwa raia wa nchi moja mchezaji gani atakubali kubadilisha uraia wake mazima?
 
SI DHAMBI KAMA TAIFA TUKIANZA MJADALA WA KUWAPA URAIA KINA MAYELE, MUKOKO, MBANGALA NK KUITUMIKIA TAIFA STARS

Binafsi Mimi ni Shabiki wa Yanga, ila Naomba wakati najadili haya naomba muweke ushabiki wangu pembeni, nimekuwa moja ya wafuatililiaji, washabiki wa timu yetu ya Taifa kindakindaki TAIFA STARS.

Nimekuwa moja ya Washabiki wake, ambaye ninaenda kuitizama timu yetu kwa kukata tamaa, pamoja Kuwa kuna baadhi ya namba na sehemu timu yetu imekuwa ikifanya vizuri, Lakini bado ina matokeo yasiyoridhisha.

NINI KIFANYIKE KWA SISI WATANZANIA, TFF NA TAIFA KWA UJUMLA
Pia nimekuwa naangalia mchezaji mmoja mmoja katika timu za vilabu, nikajikuta naishia kuiangalia Yanga kwa umakini mkubwa, Timu ya Yanga imebarikiwa Kuwa na wachezaji wazuri sana wa kila eneo tatizo wengi wamekuwa si watanzania na ambao hawaitwi timu zao za taifa, nikaona makala hii tushauriane.

Nikiwaangalia wachezaji wachache kama MAYELE, Mukoko Tonombe, Bangala, Yakoub, nk nikaona tushauriane kama taifa kwani si dhambi, kwangu mimi ninaishauri TFF kama kweli wana nia njema na mpira wetu, basi wakutane haraka na kamati ya ushindi iliyoundwa na Waziri Mkuu wawaite wachezaji hao na wengine waone kama wana uwezo wa kuwapa uraia kama Kibu Denis ili yajayo waitumikie timu yetu ya Taifa.

Kwangu mimi nikiwaangalia wachezaji wetu wa nyuma, kati na Mbele tukiwaongeza wachezaji hao naamini tutafanya vizuri vizuri na kuwapa Raha watanzania wengi wenye mapenzi makubwa na timu yao ya taifa.

Naomba kuwasilisha na #KaziIendeleeNaRSSH
View attachment 2008740
Je wao wanataka?
 
1. Hao wachezaji wako hawajawahi kyichezea Kongo? Je, inawezekana kirahisi kucheza tinu A kwenye senior football afu ukawa unahama hama uraia?
2. Uraia wa kuomba huja kwa utashi wa muombaji mwenyewe siyo kuombwa.
3. Unajua miaka unayopaswa kuishi Tanzania kabla hujaomba uraia? Hao wachezaji wako wana miaka mingapi? Tukisema tuwasubiri ifike watakuwa na miaka mingapi?
4. Tuache ushabiki hao wachezaji wako bado wana kazi nzito ya kuprove uwezo wao maana ndo kwanza round ya tano. Wengine walishachukua kiatu cha mfungaji bora zaidi ya mara moja na hatukuleta kelele za wapewe uraia
4. Njia rahisi ya mafanikio ni kuandaa vijana mafanikio ya mpira hayaji kwa hamasa za dakika ya mwisho.
#URAIA SIYO PIPI HAUGAWIKI KIRAHISI RAHISI#
 
Tunashindwa nini kuandaa wachezaji wetu hadi tutafute mamluki kutoka nje kisa tu hatutaki kutenganisha siasa na michezo.

Ina maana hao wakistaafu soka tena mnawaomba wengine nao wachukue uraia hivyo hiyo ndio itakuwa ni sera ya kuandaa timu ya taifa. Naona huna hoja, unaandika tu bora kuandika.
 
Duo citizenship ni muhimu Sana ili kujenga time yaTaifa imara kwani tuna wachezaji wengi wanatamani kuichezea timu ya taifa Ila wanahitaji kupewa uraia hapa tzkwani wao tayari ni raia.
Hivyo Kama nchi tunaweza kutoa uraia wa nchi mbili kwa wachezaji tu ili kuangalia tunaendaje.
Sisi Tanzania tuna misimamo ya kwamba mabeberu watafanya hiki na kile
 
Tusitafute mafanikio katika shortcut, tuwekeze kwenye mpira kuanzia miundo mbinu ndani ua miaka 10 tutakua mbali kisoka.

Huwezi ukawa na ligi ambayo unategemwa wachezaji kutoka timu kubwa mbili au tatu wakupe return ambao wote hao wamejengwa kuchezwa kwa hofu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom