Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,305
- 92,394
Hayo yote ni magari yanayosafiri kama nyumba Caravan, hatimaye sasa magari yanapaa angani!!....Kauzu zaidi ya dagaa! Hizo zote ni JET
Hayo yote ni magari yanayosafiri kama nyumba Caravan, hatimaye sasa magari yanapaa angani!!....Kauzu zaidi ya dagaa! Hizo zote ni JET
- Safari ya kurudi Dar from Dom...
SOURCE FACEBOOK
Na wakishastaafu hawa waliopo, basi itakuwa 100% ya marubani ni wazungu, Serikali hii ya CCM imeferi kila sekta, hakuna mtu binafsi amgharamie mtoto wake kusomea urubani, hilo jukumu linapaswa kubebwa na Serikali. ni vigumu mtu binafsi kusoma kozi ya mamilioni ya shilling huku akiwa hana uhakika wa ajila mara atakapohitimu.Kweli Tz tuna upungfu wa pilots wa ndege, nimefuatilia sana marubani wengi hapa nchini nadhani kama asilimia 70 ni wageni.
Wewe vipi kwani Wachagga wana nini? Ebu nitajie Wachagga watano wanaomiliki viwanda au makampuni makubwa! Siku hizi hakuna kabila ambalo lipo nyuma wote wana pesa..limbukeni kweli wewe kuwa na Vitara au Naoh na kibanda Kimara basi unajiona tajiri.
Mimi nina kibanda, Vitara, Naoh na Kibanda Kibanda Kimara lazima unione naringa sababu mpaka hapo hata Starlet huna na nikipita unabenua midomo na kuangalia pembeni wakati mwenzio hayo ni maisha tu najiandaa kuongeza mpaka nifikie Vogue na Flat Masaki sasa sijui utanifikia lini kazi umekaa kuhesabu nina vingapi wakati mwenzio hata sina muda wa kujua unaishi mbagala ipi. FYI mwenye guta lazima amjue mwenye gari lakini mwenye gari hawezi kumjua mwenye guta au mwenzangu guta lako lina usajili TRA.
Dada yetu Shy-Rose sasa anapokea mpunga wa millioni 17 kwa mwezi huo ni msharaha tu wa EALA MP na zaidi ya hapo anapokea laki 9 kwa siku wakati yupo kwenye vikao na vikao mda mwingine vinaendelea kwa mwezi mzima achilia mbali matrip kibao...mtajisonyaje...LOL
nimecheka mpaka gf wangu akahisi na chat na mwanamke mwingine duh kweli watanzania tuna wivu sanaaaa jamani sijui tukoje mpka huwa nasema labda ni binadamu woote lakini mungu kanijalia nimefika kwa jamii tofauti yaani wako tofauti kweli mtu akifanya jambo la kimaendeleo kidogo yaani wanampongeza kweli na hata kumpa ushauri zaidi ila sisi atoke kwenye miguu atembelee tu ****** kosa mtaa mzima ooh anajidai mara siku hizi hatusemi yaani naumiaga sana.
wewe vipi kwani wachagga wana nini? Ebu nitajie wachagga watano wanaomiliki viwanda au makampuni makubwa! Siku hizi hakuna kabila ambalo lipo nyuma wote wana pesa..limbukeni kweli wewe kuwa na vitara au naoh na kibanda kimara basi unajiona tajiri.