Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Ben saa naneMwaka mgumu sana huu kwa Jiwe.
Kazi anayo
kwa nyie mliohamishia akili tumboni nakufanya kichwa kuwa mzigo kwa miguu lazima mseme hivyoSiyo lazima iwe hivyo....
kwa nyie mliohamishia akili tumboni nakufanya kichwa kuwa mzigo kwa miguu lazima mseme hivyo
ukweli mchunguTulia kamanda
ukweli mchungu
Umekazana kweli safari hii!!Siyo lazima iwe hivyo....
Leo akaunti yake haijawa hacked??
anakubaligi kukosolewa maana yeye si jiwe wala malaika mkuuKamkosoe Mbowe uone....
kwakua katema nyongo ndio leo unaulizia?Hivi Bado Bwana Wake Jaffarah Maana Huyu Dada Kwakuweka Ving'asti Wanaume Hajambo
wasiojulikanikaLeo akaunti yake haijawa hacked??
Ameyataka mwenyewe acha aendelee 'kufurahia!Mwaka mgumu sana huu kwa Jiwe.
Kazi anayo
mnataka kumtumia wasiojulikanikaHuyu Ponjoro kuna kitu anakitafuta
Mwanahabari Huru nakuona leo uko busy kweli na kuposit threads... naona leo Chadema wamekugawia ruzuku ya kutosha!! Kula ruzuku mkuu wajinga ndiyo waliwao!!