William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,399
William umekosa tangible reasons za kumtetea Shyrose Bhanji unajiumauma tu bila sababu za msingi.Kama vile kule Jeshini ameanza kutembe gwaride kwa mguu wa KUSHOTO.Ushauri aliopewa na wengi ni mzuri sana kwake na aufanyine kazi.Kama yeye angekuwa mkurugenzi wa NGO na kwamba kama alienda kuongea na balozi kuhusu NGO yake ni sawa na kama alikwenda kwa maslahi ya benki yake ya NMB labda inataka kufungua matawi au kufanya biashara Kenya ni sawa ,lakini kama alikwenda kwa wadhifa wa balozi mteule shhe is totall wrong na kama mnafanyia promo hapa jamvini mmepotea wote.
- Maneno mengi kumbe na wewe hujui kwa nini alikwenda! ha! ha! ha!, unasema promo za JF kwani ndio iliyompa ubunge? ha! ha!
William.