Leslie Mbena
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 207
- 677
- Thread starter
- #21
Chadema na Act kila uchwao kwenda kunywa chai ubalozi kwa Trump,hivi mmesahau kuwa hao ndio waliomuua Gadafi aliyeongoka na kutaka kuanzisha Jeshi la Afrika,Benki ya Afrika,lakini ninyi bado kosa kidogo tu udhaifu mnaenda kulilia ubalozi wa Marekani,shame!