Tunaomba shule zote zifungwe wakati wa sensa. Hii kuwahadaa wazazi eti form four wabaki wakisoma halafu wazazi waongeze ada ni utapeli na kudharau maagizo ya serikali. Tena tuongeze ada bila kuwadhirikisha wazazi siyo sahihi kabisa.
Hizi shule za private washatufanya sisi misukule.waziri kemea huu ujinga. Lazima maamuzi ya serikali yaheshimiwe. Shule zote zifungwe wiki ijayo wanafunzi wapumzike wamekaa shule muda mrefu mno tangu january na wajiandae na sensa.
Hizi shule za private washatufanya sisi misukule.waziri kemea huu ujinga. Lazima maamuzi ya serikali yaheshimiwe. Shule zote zifungwe wiki ijayo wanafunzi wapumzike wamekaa shule muda mrefu mno tangu january na wajiandae na sensa.