Shule zimefungwa, mzazi/mlezi pita hapa tujadiliane kidogo

kadoda11

JF-Expert Member
Jan 6, 2011
21,456
20,709
Mungu akipenda mwakani anaingia standard four na huu ni moja ya mtihani wake ktk somo la Jiografia ambao aliufanya mwezi wa 11/2016 katika muhula wa mwisho wa kufungia mwaka.

Ukiwa kama mzazi unayesomesha mtoto/watoto au mzazi unayetarajia kuanza kulipa ada kwa mara ya kwanza mwakani, una maoni gani juu ya elimu yake? Nini anapaswa kukizingatia?

Weka maoni yako hapa, nitamfikishia. Mimi ni baba yake mzazi.

Natanguliza shukrani.

8a578033a3be86b19423417e06e8e5f9.jpg
828e281ab7f05ab62f8851651c1c3fd3.jpg
8751d895b3014dbfd2678d94af6f003a.jpg
a0d877f2658e4e4eeadf6c8489a22fcb.jpg
e2f3d2e5783e6321fa4b8856d475b95a.jpg
 
Hi ndiyo mitihani inayotungwa na walimu wa Chuo cha kata UDOM& na walimu waliotokea shule za SEDP!
Masihara hayo bombadier....is it serious?...wakuu wa UDOM ni la kweli hili?.jibu lenu Tafadhali.
 
Endelea kumtengenezea mazingira ya kupenda kujisomea, pia dadisi mapema ili uijue future yake, hii Ni kwaajili ya kumjemgea msingi mzuri..!!

N.B hesabu lazima afanye za kutosha kwa afya ya ubongo wake
 
Endelea kumtengenezea mazingira ya kupenda kujisomea, pia dadisi mapema ili uijue future yake, hii Ni kwaajili ya kumjemgea msingi mzuri..!!

N.B hesabu lazima afanye za kutosha kwa afya ya ubongo wake
asante mkuu.
term hii hesabu hajafanya vizuri sana,ila term iliyopita ali perform vizuri.

nitaweka bidii ya kumsisitizia kuhusu ushauri wako juu ya somo la hesabu.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom