Kyokola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 1,402
- 1,889
Mimi nina madume matatu, ni kesi tu muda wote, nimepigwa amenipiga, halafu mdogo kabisa mkorofi halafu wa kwanza kushtaki.
Ukiwa mzazi automaticaly unakua hakimu pia . Full kuamulia kesi na ngumi