Kuna likizo niliwachukulia vitabu library, waliosoma Hadith ya Nuhu na safina. Nilipotoka kazini nilikua dining table imekuwa safina
Na once you manage to get that attachment, it will never go away. That’s what it will make them come to see you in your old age.Ila pia ndio muda mzuri sana wa kutengeneza connection na watoto,ingawa uvumilie tu maswali kutwa nzima,kelele,vurugu,kutazama cartoon all the time yaan funny moments na kero moments ila ndio raha ya kua parent
Mkuu dinning'r itageuzwaje safina wakati wao wenyewe wana vyeo miongoni mwao?Kuna likizo niliwachukulia vitabu library, waliosoma Hadith ya Nuhu na safina. Nilipotoka kazini nilikua dining table imekuwa safina
Hao viranja ndio walikuwa waandaa mikakati. Bahati nzuri wanyama waliokusanywa ni matoyMkuu dinning'r itageuzwaje safina wakati wao wenyewe wana vyeo miongoni mwao?
Kuna kaka, dada wakubwa nk nk, wanaoweza ku maintain nidhamu ya humo ndani.
Maana hata shuleni kuna maviranja wanao represent walimu!
Mimi ni vyombo vya ndani, ninauliza hivi sahani itakuponyikaje ukiwa mwangalifu? Sasa wakishavunja wanasema mama samahani nilisahau kuwa mwangalifu.Ila katika vitu vyote mm hua wananikera ni kuchora kuta yaan kidume umepaka rangi ya bei ndani unakuta mwanangu kajipinda anachora apple
Ni uvumilivu tu sio siri ukikumbuka na ww ulikua unazingua kwa mzazi wako km anavokuzingua huyu unakua mpole tuMimi ni vyombo vya ndani, ninauliza hivi sahani itakuponyikaje ukiwa mwangalifu? Sasa wakishavunja wanasema mama samahani nilisahau kuwa mwangalifu.
Likizo ikiisha inabidi ubadilishe set ya jikoni. Unakuta mabakuli na sahani zimebaki mbili.
Hawa watu wakishakutana wakiwa peke yao suala la nidhamu sahauMkuu dinning'r itageuzwaje safina wakati wao wenyewe wana vyeo miongoni mwao?
Kuna kaka, dada wakubwa nk nk, wanaoweza ku maintain nidhamu ya humo ndani.
Maana hata shuleni kuna maviranja wanao represent walimu!
Si kitu vizuri lakini ni vyema kukitarajia ukiwa na hawa watu, don't get surprisedIla katika vitu vyote mm hua wananikera ni kuchora kuta yaan kidume umepaka rangi ya bei ndani unakuta mwanangu kajipinda anachora apple
Bado hujajua kwa nini yale majagi ya vioo yamepungua manyumbani sa hivi ni mwendo wa plastics tuuu.Bado remote, simu, havijaoshwa na Maji. All in all ni kumshukuru Mungu tuu Kwa kua kuna watu hawana watoto, kuna watu wanawatoto hawawezi kutembea mpaka wasogezwe. Ukiwa na watoto watundu mshukuru Mungu Sana.Wazazi wa siku hizi aseee,
Akili mlizobakiza ni za madigiriiiii na phd aseeee
Sasa hata mtoto kucheza kwao unaona kero??
Kisheria huyo yuko kwao, ukiona ana kukera nawe nenda kwenu