Shule zenye kawaida ya kufelisha zifutwe ni hasara kwa wazazi

Danniair

JF-Expert Member
Feb 18, 2011
360
66
Jamani ifike mahali shule za binafsi zenye kawaida za kufelisha zifutwe kwani ni hasara kwa wazazi. Iweje kila mwaka bidhaa zao ziwe mbovu na bado TBS ya wizara ya elimu haiwamliki? Kaguzi zipi zinafanywa na wizara hii. Je, kuna fomu zozote ambazo ktk ukaguzi wao wanafunzi huzijaza? au wakishafika wakapewa bahasha huishia kuandika ripoti nzuri ili hali kila mwaka shule hizi hutoa divisheni zero kibao na kumwachia mzazi hasara huku wao wakiendelea kutamba kwa makusanyo.
 
na kweli,manake kuna wazazi hawajishughulishi kabisaa na watoto wao utafikiri waliwazalia waalimu.mzazi hapaswi kushtushwa na matokeo ya mwanae,kama unafuga sifuri hapo ndani usitegemee muujjiza!
<p>
Inabidi ufikirie kwa nini wanafunzi wanafeli na si kufikiria kufuta Shule!
</p>
<p>&nbsp;</p>
 
Back
Top Bottom