Shule zao hazifanyi vizuri, ila wanatoa top ten ya Matajiri

1-reginald mengiundefined2-joseph kisaboundefined3-gwajimaundefined4-lowasaundefined5-chengeundefined6-proffesor j wa mitulingaundefined7sugu moto chiniundefinedetc
 
Hiki ndio kipimo cha akili za vijana wengi wa kitanzania. Huu mjadala hauna tija zaidi ya kuwaonesha mlivyo jaa ujinga vichwani mwenu. Mnashindwa kujadili mada za maana na kutoa hoja za kueleweka kiasi cha kujadili tajiri na asiyekuwa tajiri?
 
Hii ni kesi ya watanzania

Hao waislamu matajiri wote siyo ngozi nyeusi,hakuna hata mmoja.

Niletee list ya matajiri weusi wakristo na weusi waislamu ndio mpambano uanze.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe tajiri akiwa mweusi ,mweupe au mwekundu anakusaidia nini? Mmejaa ujinga vichwani mwenu mnashindwa kujadili ya msingi mnajadili upuuzi. Hopeless kabisa
 
Mm binafsi ni mkristo RC, pamoja na kwamba shule zetu zinafanya vizuri kitaifa katika nyanja mbalimbali kuanzia vyuo, secondary na shule za msingi, ni jambo zuri sana kwa Show katika jamii. Kwa upande wa wenzetu shule zao hazifanyi vizuri Sana yawezekana hatawe kwenye Top ten hawapo kabisa,

kinachonifanya niwakubali Hawa jamaa ni pale wanapoweza kuwa na nguvu kubwa za kiuchumi Tanzania, wakati Shule za Roman Catholic zikiongoza kwy top ten kitaifa wao wanaongoza kwenye top ten za utajiri Tanzania, hebu jiulize ni tajiri gani wa Roman Catholic aliyopo kwenye Top ten?

Licha ya kuwa wanatoa wanafunzi wenye akili, kuna jambo la kujifunza hapo,hao wanafunzi huishia wapi?

Maana hatuoni impact yao. Kwa maana nyingine wenzetu wanasoma kwa malengo sisi tunasoma kwa shoo off, tuongoza kwenye kufaulu basi tunakuwa tumelewa sifa, please huo ni mtazamo wangu tu.
Mbona na Sisi RC tunatoa top ten ya wanasayansi na wavumbuzi wakubwa Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm binafsi ni mkristo RC, pamoja na kwamba shule zetu zinafanya vizuri kitaifa katika nyanja mbalimbali kuanzia vyuo, secondary na shule za msingi, ni jambo zuri sana kwa Show katika jamii. Kwa upande wa wenzetu shule zao hazifanyi vizuri Sana yawezekana hatawe kwenye Top ten hawapo kabisa,

kinachonifanya niwakubali Hawa jamaa ni pale wanapoweza kuwa na nguvu kubwa za kiuchumi Tanzania, wakati Shule za Roman Catholic zikiongoza kwy top ten kitaifa wao wanaongoza kwenye top ten za utajiri Tanzania, hebu jiulize ni tajiri gani wa Roman Catholic aliyopo kwenye Top ten?

Licha ya kuwa wanatoa wanafunzi wenye akili, kuna jambo la kujifunza hapo,hao wanafunzi huishia wapi?

Maana hatuoni impact yao. Kwa maana nyingine wenzetu wanasoma kwa malengo sisi tunasoma kwa shoo off, tuongoza kwenye kufaulu basi tunakuwa tumelewa sifa, please huo ni mtazamo wangu tu.
.
IMG-20190128-WA0121.jpeg


Jr
 
Wakristu wengi ni middle class
Tabaka ambalo Ni la muhimu sana kwa uchumi wa nchi yoyote duniani coz wao ndo consumer wakubwa wa huduma zinazotosha na higher class

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakristo bhana sasa mnagombania nini??
wewe kama mkatoliki utakuwa mpumbavu waone wenzako wanajifanya kutoa mapepo wanawapanga watu waje kwa nabii wanasema uongo alikuwa kilema sasa anatembea alikuwa ana mapepo akiguswa anaanguka mapepo yametoka wote wanadanganywana bado mnajaaa kwenda kutoa sadaka mwenzako anatembelea range weweunakuja na baiskeli au ist jilinganishe hapo


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Write your reply...tajiri wa kwanza africa kusini ni jonathan oppenheimers,at least mpaka mwishoni mwa miaka ya elfu mbili,mkurugenzi wa Debeers,huyo ndo tajiri mkubwa huko,lakini pia ni mzungu
 
mnaambiwaga dhahabu na vyote ni mali ya bwana. Sasa ubilionea utapata wapi
 
Sio tu 2000.

Unaweza andika 1000000.

Hilo haliwezi kuwa tatizo.

Tatizo ni pale unapoandika 2000 bila kuleta ushahidi.

Tutajuaje ni kweli na sio wishful thinking zako tu.
Hakuna,narudia tena hakuna shule ya kikristo ambayo ni pure ya kikristo utamkuta Ramadhani! Yaani at Francis umkute Juma? Sinawahi ona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm binafsi ni mkristo RC, pamoja na kwamba shule zetu zinafanya vizuri kitaifa katika nyanja mbalimbali kuanzia vyuo, secondary na shule za msingi, ni jambo zuri sana kwa Show katika jamii. Kwa upande wa wenzetu shule zao hazifanyi vizuri Sana yawezekana hatawe kwenye Top ten hawapo kabisa,

kinachonifanya niwakubali Hawa jamaa ni pale wanapoweza kuwa na nguvu kubwa za kiuchumi Tanzania, wakati Shule za Roman Catholic zikiongoza kwy top ten kitaifa wao wanaongoza kwenye top ten za utajiri Tanzania, hebu jiulize ni tajiri gani wa Roman Catholic aliyopo kwenye Top ten?

Licha ya kuwa wanatoa wanafunzi wenye akili, kuna jambo la kujifunza hapo,hao wanafunzi huishia wapi?

Maana hatuoni impact yao. Kwa maana nyingine wenzetu wanasoma kwa malengo sisi tunasoma kwa shoo off, tuongoza kwenye kufaulu basi tunakuwa tumelewa sifa, please huo ni mtazamo wangu tu.
Irrelevant example MO amesoma shule za Tanzania?
 
Back
Top Bottom