"Nasema mtachonga sana! Eti wengine wakiwemo ambao hawajasoma hata nusu darasa wanazikashifu sekondari za kata. Kisa zaidi eti ni kwa kuongoza kwa divisheni ziro katika matokeo hayo. Kuchonga wanangu ni haki yenu ya msingi, hivyo endeleeni.
Kwa hiyo mnashangalia matokeo ya sekondari za kata, mnayaacha mengine ya msingi katika sekta hiyohiyo ya elimu? Je hizo mlizoziita Shule za Wenye Vipaji Maalumu zimewafikisha wapi? Kuna cha vipaji maalumu hapa? Eti Ilboru, Mzumbe, Tabora, Kibaha hadi na Kilakala.
Naapa na hawa wa Vipaji Maalumu walibeba viroba vya divisheni 0 hivyo msishangilie sekondari za kata.Mlitegemea bado hizo ni shule maalumu? Nyo! Wanafunzi huingizwa shuleni siyo kwa matokeo maalumu, bali ni kwa vijimemo toka kwa wazito.
Mmebakia kwenye kuzitambua bado kama shule za wenye vipaji maalumu? Na St. Marian, St. Goreti, Uru Seminary zilizobeba viroba vya divisheni 1 ziwe nini? Acheni mzaha ukubwani. Kwanza mnawapotosha hao wanafunzi na kuwavimbisha vichwa buree"
Wakuu hua mnasoma nakala za huyu bwana? Jamaa hua anaandika ukweli ktk style ya maongezi,basi hua napenda sana kumsoma. Ni ukweli tupu!
http://www.mwananchi.co.tz/newsrids.asp?id=17971
Kwa hiyo mnashangalia matokeo ya sekondari za kata, mnayaacha mengine ya msingi katika sekta hiyohiyo ya elimu? Je hizo mlizoziita Shule za Wenye Vipaji Maalumu zimewafikisha wapi? Kuna cha vipaji maalumu hapa? Eti Ilboru, Mzumbe, Tabora, Kibaha hadi na Kilakala.
Naapa na hawa wa Vipaji Maalumu walibeba viroba vya divisheni 0 hivyo msishangilie sekondari za kata.Mlitegemea bado hizo ni shule maalumu? Nyo! Wanafunzi huingizwa shuleni siyo kwa matokeo maalumu, bali ni kwa vijimemo toka kwa wazito.
Mmebakia kwenye kuzitambua bado kama shule za wenye vipaji maalumu? Na St. Marian, St. Goreti, Uru Seminary zilizobeba viroba vya divisheni 1 ziwe nini? Acheni mzaha ukubwani. Kwanza mnawapotosha hao wanafunzi na kuwavimbisha vichwa buree"
Wakuu hua mnasoma nakala za huyu bwana? Jamaa hua anaandika ukweli ktk style ya maongezi,basi hua napenda sana kumsoma. Ni ukweli tupu!
http://www.mwananchi.co.tz/newsrids.asp?id=17971