cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,611
- 137,279
Mkuu sijapinga ila imagine mtu kapata one ya saba umpeleke shule haiendani na ufaulu wake au imagine mtu apate one ya 3 afu chuo umpeleke SAUT?
Mkuu sijapinga ila imagine mtu kapata one ya saba umpeleke shule haiendani na ufaulu wake au imagine mtu apate one ya 3 afu chuo umpeleke SAUT?
- Kibaha
- Mzumbe
- Tabora Boys
- Ilboru
- Tabora Girls
- Kilakala
- Msalato
Hizi shule kila mwanafunzi anatamani kusoma hapo, nafurahi Advance level, nimesoma 1 kati shule hizo.
Kuhusu ufundi mbona shule zipo.
- Musoma Tech
- Moshi Tech
- Tanga Tech
- Iyunga Tech
- Mtwara Tech
NB: Shule za vipaji zibaki km zilivyo na ziendelee na utaratibu huu.
Kipaji chao ni kuweza kufaulu kwa kiwango cha juu kuliko wengine. Is that too hard to understand ?Katika mfumo wetu wa elimu nchini kuna shule za sekondari ambazo zimekuwa zikijulikana kama shule za vipaji maalumu lakini kiuhalisia zisingepaswa kuitwa hivyo badala yake zingeitwa shule za waliopata ufaulu wa alama za juu katika mitihani.
Kuna tofauti kubwa sana kati ya kupata maksi za juu darasani na kuwa na kipaji fulani. Mtu anaweza kupata maksi za juu katika mitihani na akawa hana kipaji chochote. Mtu anaweza kupata maksi za chini darasani na akawa na kipaji.
Vipaji kwa wanafunzi ni kuweza kubuni na kuunda mashine kwa haraka, kuimba, utunzi na uandishi, uchoraji, uwezo wa juu kimichezo, debate, ujuzi wa lugha tofauti kwa haraka, uchoraji ramani, ubunifu katika kuchanganya kemikali na kuunda vitu vipya n.k
Watu wanaofaulu tu kwa kiwango cha juu mitihani ya darasa la saba na kidato cha nne hawapaswi kutambulika kama watu wenye vipaji bila kuonyesha vitu vya ziada walivyo navyo zaidi ya ufaulu wa mitihani.
Pia serikali iachane na mfumo wa sasa wa kuwatenga wanafunzi katika shule maalum zinazoitwa za vipaji na za bweni kulingana na ufaulu wa juu wa mitihani na badala yake shule hizo zote zifanywe za ufundi na vipaji halisi ile zilite tija katika taifa kwani kwa sasa hazina tija yoyote katika kuzalisha watu watakaochochea mabadiliko ya nchi.
Kuwa na uwezo wa kumbukumbu kubwa hicho nacho ni kipaji mkuu, lakini mtu anaweza kuwa na uwezo mkubwa wa kukumbuka ila akawa na uwezo mdogo wa kuchakata taarifa.Katika mfumo wetu wa elimu nchini kuna shule za sekondari ambazo zimekuwa zikijulikana kama shule za vipaji maalumu lakini kiuhalisia zisingepaswa kuitwa hivyo badala yake zingeitwa shule za waliopata ufaulu wa alama za juu katika mitihani.
Kuna tofauti kubwa sana kati ya kupata maksi za juu darasani na kuwa na kipaji fulani. Mtu anaweza kupata maksi za juu katika mitihani na akawa hana kipaji chochote. Mtu anaweza kupata maksi za chini darasani na akawa na kipaji.
Vipaji kwa wanafunzi ni kuweza kubuni na kuunda mashine kwa haraka, kuimba, utunzi na uandishi, uchoraji, uwezo wa juu kimichezo, debate, ujuzi wa lugha tofauti kwa haraka, uchoraji ramani, ubunifu katika kuchanganya kemikali na kuunda vitu vipya n.k
Watu wanaofaulu tu kwa kiwango cha juu mitihani ya darasa la saba na kidato cha nne hawapaswi kutambulika kama watu wenye vipaji bila kuonyesha vitu vya ziada walivyo navyo zaidi ya ufaulu wa mitihani.
Pia serikali iachane na mfumo wa sasa wa kuwatenga wanafunzi katika shule maalum zinazoitwa za vipaji na za bweni kulingana na ufaulu wa juu wa mitihani na badala yake shule hizo zote zifanywe za ufundi na vipaji halisi ile zilite tija katika taifa kwani kwa sasa hazina tija yoyote katika kuzalisha watu watakaochochea mabadiliko ya nchi.
Ndio kipaji cha bongo , sio lazima iwe kipaji UlayaKufaulu mitihani kwa kiwango cha juu kuliko wengine kinaweza kuwa kipaji bongoland tu.
Kuwa na uwezo wa kumbukumbu kubwa hicho nacho ni kipaji mkuu, lakini mtu anaweza kuwa na uwezo mkubwa wa kukumbuka ila akawa na uwezo mdogo wa kuchakata taarifa.