Granta
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 4,811
- 6,052
Kama unataka kuwekeza kwa mtoto wako na ukadhani gharama ni tatizo kwa kulinganisha kiasi cha ada kati ya shule za kikatoliki na binafsi bila kuangalia kiwango cha elimu aipatayo mtoto wako utakua unatengeneza bomu litakalokulipukia mwenyewe.Nenda kafanye utafiti kisha uje hapa na hii dhana ya gharama na kiwango bila kusahau mandhari na malezi mema
Kweli dini zimewaziba watu, zimewafanya vipofu... wajanja kwa kulijua hili wanazitumia dini kufanya biashara... UMENIAMINISHA KUWA DINI ZIMEFANYWA BIASHARA,