Kama ungeambiwa utaje shule tano za msingi kutoka Dar-es-salaam (1980-2009) maridadi kabisa na zilizotoa vijana wenye ushawishi mkubwa sana ungetaja shule gani?
...dah, sijui mtego huu? anyway...
Muhimbili Primary- (Kwa Mwl Ndossy hapa ), Olympio Primary, Upanga Primary, Bunge Primary, Forodhani Primary, Zanaki Primary, Oysterbay Primary,...Mzizima Primary...!
Kama ungeambiwa utaje shule tano za msingi kutoka Dar-es-salaam (1980-2009) maridadi kabisa na zilizotoa vijana wenye ushawishi mkubwa sana ungetaja shule gani?
Shule ya msingi Mlimani lazima iwe kwenye hizo orodha ya tano bora. Na let me guess, Companero na Moelex (na VeraCity labda) ni products wa Mlimani....
Shule ya msingi Mlimani lazima iwe kwenye hizo orodha ya tano bora. Na let me guess, Companero na Moelex (na VeraCity labda) ni products wa Mlimani....
Ingekuwa vyema kama ungetoa sababu kwanza ya kufanya hii tafiti yako unayotaka kufanya hapa, otherwise ningekupna wa wamaana sana kama ungeanzisha thread ya kuona namna gani ya kuzisaidia zile shule zinazoonekana kusuasua, watoto wakisomea chini ya miti na kukaa chini.
Thread za kitotototo..lol
Sasa unachangia nini katika thread za kitotototo?
Either si za kitoto hivyo kama hata wewe nawe umechangia, au kama ni za kitotototo basi na wewe ni mtotomtoto.
Hilo ni tatizo lakoNimeweka ma philosophical discourse kule watu hata kusoma wanashindwa
, nikija na lightweight za weekend ambapo watu wanaopine freely na ku reminisce unaema thread za kitoto, unafurahisha.
structural engineers tunasema structures ni msingi (foundation), sasa go & figure.Halafu thread si lazima zizaliwe zinakimbia, zinaweza kuanza kitoto lakini kutokana na michango iliyokomaa zikakua na kuchukua uzito mkubwa,
kivipi?wewe kama umeona thread ni ya kitoto hujasaidia kufanya hivi, kwa hiyo comment yako imekuwa ya kitoto zaidi ya hii thread.
Talking about hanging you by your own thread, eenh, comment. Wordplay.
Kuchangia thread unakokujua wewe ni kupi? Unaweza kuthibitisha pasi na shaka kuwa nimechangia?
Unajenga dhana mfu halafu unatumia bila haya bila kuithibitisha, lol
Hilo ni tatizo lako
Asavali umethema menyewe..
structural engineers tunasema structures ni msingi (foundation), sasa go & figure.
kivipi?
Sasa ume-hang nini na huu upupu? Mwe!
Kwani wewe ni nani wa kuniambia niachane nayo? Kwani unaona sijaachana nayo? 'Kuacha' unakokujua wewe ni kupi?Kama thread ya kitoto achana nayo
, wewe si ombudsman wa kusema nini kiandikwe na nini kisiandikwe.
Na kama inakukuna sana kiasi huwezi kuacha kuchangia (yes, kupost ni kuchangia) either na wewe ni mtoto au si ya kitoto hivyo.
Mifarisayo bwana, hapo hapo you are larger than life halafu hapo hapo unataka kuchangia hoja hizo hizo.
Sio lazima kila thread utie kidomodomo chako.
Sio lazima kila thread utie kidomodomo chako.
Actually natumia vidole na sio mdomo. Hivi unao ushahidi wa uyasemayo?