King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,656
- 68,601
Bwashee ungeweka hiyo list ya top 10 juu hapo kwenye post ya kwanza,sio kila mtu anajua Top 10 list.
Ina watoto wengi kutoka kilimanjaro na nje ya mkoa wa Kagera wanaosoma hapo wengi sio watoto wa Kagera
Hata nyinyi ni wake wa ndumilakuwiliMkuu
Usikasirike wewe kulamba matakor ya mawe,you are free mzee
Nime just state the fact...hata wewe unasema nalamba ya Ndumilakuwili,no problem
Ila usikasirike,nyote nyie walamba matakor wa mawe ni wake zake...
Kilimanjaro gani Tena jaman
Kwenu Segese ipo hata ya 100 bora ?!Bwashee vijana wanakunywa pombe kali na mbege,wanasahau masomo. Wakifeli wanasingizia Ccm haijawekeza kwenye elimu.
Mkoa uko Top 2 ...mtwara imewahi fika hapo?Kilimanjaro imekuwa kama mtwara siku hizi
Mkoa uliopo ndan ya top 3 form four na form two umerudi nyuma??Mikoa ya kanda ya ziwa Sasa hivi wazazi wameamuka kwenye kusimamia watoto wao kusoma huku mikoa iliyokuwa inasimamia watoto kusoma ikirudi nyuma.
Probably obsolete.Ubongo wako uko obsolute
Nkurumbi.Umedandia treni kwa mbele manka!
Nimechunguza aina ya posts zako, nikatamani nikusikie hata kwa sauti . Tumesomeshea baadhi ya watoto wetu shule za Kilimanjaro na wengine mikoa yetu miaka kadhaa iliyopita now we can note their differences! Hadi leo Kilimanjaro bado ni kitovu cha ubora wa elimu. Tulioko mikoani tusiwabeze watu hao kwa vigezo vya tofauti za kisiasa.Umedandia treni kwa mbele manka!
Wewe utakuwa unapaqatwa sio bure, St. Mary Goreth imewah kufanya hvo Kibosho gals likewise hata hzo seminary zmewah kuingia kwnye category ya wanafunz zaid ya 40 mara kibao tu, Scholastica imewahMtu wa Kilimanjaro ila mlamba matakor wa bwana mawe?
Really?
Utakua sio mwenyeji wa kweli,utakua muhamiaji wa miaka ya karibuni
Uangalizi wako sio sahihi
Hakunaga mwaka Shule bora kabisa yenye watoto zaidi ya 25 ilishawahi kutoka Kilimanjaro, never
Chini ya watoto 25 ndio huwa zinatoka Uru Seminary, Maua, St. James etc....juu ya 25 students KLM has never put up any school on top 10 au even top 20
Kilimanjaro huwa inaongoza kwenye ufaulu wa jumla jumla
Sijacheck mwaka huu kwenye ufaulu wa jumla KLM imekua ya ngapi, sidhani ndani mikoa top 3 inakosekana, I dont think so.
Hujui unachoongea, Issue sio kuwa namba moja... Issue ni shule ngapi kutoka Kilimanjaro zimewahi kuingia top 10St. Mary Goreth,piece of nonsensical school iwe ya kwanza Tanzania nzima?
Are you insane?
SMG inajengwa naiona kwa macho,a mix,day and boarding school iwe ya kwanza Tanzania nzima?Una mavi wewe kidungu maria?
Kafie huko
Let link ya NECTA kuonesha SMG ilishawahi shika namba 1 Tanzania nzima,weka link hapa!
Huna
Seminary zimeshika category ya below 40,for decades mpaka leo
Scholasrtica is another rubbish school,never been number one in Tanzania,never!
Unaongea kama umepigwa ufunguo,weka links hapa,hunaaaa!
Ati fiction character, ndumilakuwili ni mbowe, mtu anasema lowasa fisadi afu anakuja waambia sio fisadi, awe Rais. Huo ndio undumilakuwili, hutaki viti maalum leo, afu una pokea ruzuku zao kisirisiri. Huo ndio undumilakuwili, na nyinyi nyumbu woote, madafakas, ndio wake zake.Ndumilakuwili ni fictional character,kua wake zake ni sawa na fction
Ila mawe ni real person,nyie wake zake,which makes it real!
Upgrade your brains maafakaz!
Acha unaaa wew dogo. Mimi ni mwalimu Nafundisha hapa Kaizirege na mimi siyo Mhaya ila kusema tu ukweli madogo wa kihaya wanapiga msuli acheni wivu wa kikeIna watoto wengi kutoka kilimanjaro na nje ya mkoa wa Kagera wanaosoma hapo wengi sio watoto wa Kagera