Shule za mkoa wa Kilimanjaro zinafeli wapi maana hazimo Top ten ya matokeo kidato cha nne!

Mtu wa Kilimanjaro ila mlamba matakor wa bwana mawe?

Really?

Utakua sio mwenyeji wa kweli,utakua muhamiaji wa miaka ya karibuni

Uangalizi wako sio sahihi

Hakunaga mwaka Shule bora kabisa yenye watoto zaidi ya 25 ilishawahi kutoka Kilimanjaro,never

Chini ya watoto 25 ndio hua zinatoka Uru Seminary,Maua,St. James,etc....juu ya 25 students KLM has never put up any school on top 10 au even top 20

Kilimanjaro hua inaongoza kwenye ufaulu wa jumla jumla

Sijacheck mwaka huu kwenye ufaulu wa jumla KLM imekua ya ngapi,sidhani ndani mikoa top 3 inakosekana,I dont think so.
Hawezi kuwa wa Kilimanjaro huyo
 
Ni nadra Sana kwa shule za Kilimanjaro kuingia top 10;

Top ten mikoa ambayo huwa haikosekani ni Arusha, Morogoro na Dar.
Arusha wako vizuri sana, kumi bora ya wanafunzi hipo, kumi bora shule hipo, tatu bora ufaulu hipo, tatu bora ya shule zilizofanya vizuri hipo.
 
Mtu wa Kilimanjaro ila mlamba matakor wa bwana mawe?

Really?

Utakua sio mwenyeji wa kweli,utakua muhamiaji wa miaka ya karibuni

Uangalizi wako sio sahihi

Hakunaga mwaka Shule bora kabisa yenye watoto zaidi ya 25 ilishawahi kutoka Kilimanjaro,never

Chini ya watoto 25 ndio hua zinatoka Uru Seminary,Maua,St. James,etc....juu ya 25 students KLM has never put up any school on top 10 au even top 20

Kilimanjaro hua inaongoza kwenye ufaulu wa jumla jumla

Sijacheck mwaka huu kwenye ufaulu wa jumla KLM imekua ya ngapi,sidhani ndani mikoa top 3 inakosekana,I dont think so.
Uko sahihi sana mr The List .
Pia huyu bwana @johnbaptist ni mnyaturu
 
T
Nitadharauje mkoa wangu bwashee?!

Tatizo lako unadhani wachaga wote tuko Chadema!
These are stupid minds that moderators should take action.
Ulianza na ufaulu kwa agenda isiyo na mashiko, umeshindwa kule umegeukia siasa, moderators wako kimya.
 
Mtu wa Kilimanjaro ila mlamba matakor wa bwana mawe?

Really?

Utakua sio mwenyeji wa kweli,utakua muhamiaji wa miaka ya karibuni

Uangalizi wako sio sahihi

Hakunaga mwaka Shule bora kabisa yenye watoto zaidi ya 25 ilishawahi kutoka Kilimanjaro,never

Chini ya watoto 25 ndio hua zinatoka Uru Seminary,Maua,St. James,etc....juu ya 25 students KLM has never put up any school on top 10 au even top 20

Kilimanjaro hua inaongoza kwenye ufaulu wa jumla jumla

Sijacheck mwaka huu kwenye ufaulu wa jumla KLM imekua ya ngapi,sidhani ndani mikoa top 3 inakosekana,I dont think so.

Mkuu kaangalie St James ya Marangu wanafunzi wote 45 wana division one
 
Wachaga siyo watu genius ktk masomo. Acheni ubaguzi, changanyikeni na makabila mengine shuleni ili vichwa vichemke. Acha kujivunia eti tumesoma sana! hakuna vichwa huko, vinalazimishwa tu!
Sio kila kitu unachokitaka unapata kirahisi vingi ni lazima kulazimisha, cha msingi ni matokeo mazuri tuu.
 
Nimeangalia orodha ya shule zilizofanya vizuri kwenye mtihani wa kidato cha nne lakini kwenye 10 bora sijaona shule za mkoa wangu wa Kilimanjaro.

Tunafeli wapi jamani?

Maendeleo hayana vyama!
Tuwekee hiyo list hapa siyo maneno matupu..
 
Mtu wa Kilimanjaro ila mlamba matakor wa bwana mawe?

Really?

Utakua sio mwenyeji wa kweli,utakua muhamiaji wa miaka ya karibuni

Uangalizi wako sio sahihi

Hakunaga mwaka Shule bora kabisa yenye watoto zaidi ya 25 ilishawahi kutoka Kilimanjaro,never

Chini ya watoto 25 ndio hua zinatoka Uru Seminary,Maua,St. James,etc....juu ya 25 students KLM has never put up any school on top 10 au even top 20

Kilimanjaro hua inaongoza kwenye ufaulu wa jumla jumla

Sijacheck mwaka huu kwenye ufaulu wa jumla KLM imekua ya ngapi,sidhani ndani mikoa top 3 inakosekana,I dont think so.
Unamaanisha nini ufaulu wa jumla?

Nimeona huyu Mkuu wa Mkoa kaposti hii hapa chini labda ndio inahusiana na huo “ufaulu wa jumla”.

7A1D3029-44E8-429D-8BAC-CFFD2F94A0BB.jpeg
 
Mikoa yote umeamka ukiacha ya kamda kwani anzia Tanga to Mtwara huko bado shida ....Maendeleo hayana vyama tusomeshe watoto wetu
 
Nimeangalia orodha ya shule zilizofanya vizuri kwenye mtihani wa kidato cha nne lakini kwenye 10 bora sijaona shule za mkoa wangu wa Kilimanjaro.

Tunafeli wapi jamani?

Maendeleo hayana vyama!
Wazee wa zamani Kilimanjaro waliupenda sana mkoa wao kiasi hawakuwa wakienda huko Krisimasi bali waliishi huko, kutokana nakuishi huko waliishi na watoto wao karibuni tofauti na hawa wanaokwenda kutengeneza watoto kisha wao wanarudi Dar kutafuta maisha mtoto anaishi na mama, bibi na babu mpaka Krisimasi. Hao ambazo mtoto anaishi nao hawana uwezo tena wa kufuatilia mwenendo wa mtoto shuleni.
 
Back
Top Bottom