Shule za Kiislam zinatia aibu kitaaluma, BAKWATA mnastahili kulaumiwa

Mimi nakufahamisha kuwa huko, sina ushahidi kwa sasa, lakini kuna mengi yanfanyika yasio kawaida. Hilo amini usiamini. Kwa elimuyipi zaido mliyonayo au uwezo upi zaidi mliouonesha maishani?

Juzi tumemsikia hapahapa JF kawekwa eti Profesa anaongea Kingereza, mpaka unajiuliza huyu kafikaje huko?

Yapo yanayojitokeza kidogokidogo...

Suala la Ndalichako sio kuliacha lipite kimya kimya. Akiwa Nect alikuwa anawakata waislamu majina na kuwapa zero. Hadi JK akamuondoa.
Sasa hivi kawa waziri kamili.

Naomba waislamu wote twende Ikulu tukapande mwongozo.

Kwana English ya Nadalicho yenyewe kumbe kichekesho kitupu. Vyeti vyetu vina saini lake kumbe broken English. Hivi hakuna namna ya kufuta ile saini ya Ndalichako kwenye cheti?

Takbiiir
.
 
Faiza Foxy ni Closed mind ata sio mtu wa reason na kuwa na Hoja yeye so long as Uislamu umetajwa basi atangangana hapo tu bila kuangalia jambo kwa kina Ni mchangiaji wa kishabiki sana, uzee pia unachangia Ivo Faiza ni wa kupuuza kabisa ata sio wa kutoleana nae jasho na watu kama hawa ndio wanazidi kudidimiza Elimu upande wa shule za kislamu mana huyu hata mwanae akitokea Islamic school na Zero ata mfariji tu na kumuambia kina fulani hawapendi ufaulu. Ni ukweli ulio wazi Islamic schools zina Ujinga mwingi sana japo si zote ila tu wako na ujinga mwingi kwanza vipaumbele vyao sio elimu dunia wao wanataka elimu akhera zaidi na mambo ya kuchanganya waarabu ambao nature yao si watu wa Shule hutegemea kurithi vitu.. Kama unataka mwanao a perfom vizuri mpelekee shule za kueleweka sio hizi za ma ustadhi misimamo mikali hamna plans wanakuja kulia lia tu mfumo unawakataa
 
Mtu mmoja majibu mawili tofauti. Ni kama vile unachokielewa na unachokiamini ni vya kubahatisha.





Sent using Jamii Forums mobile app
Ulitaka kila post iwe na jibu hilohilo. Hizo ndizo shule za ufaulu?

Mnasikitisha sana, hata namna ya kufikiri kwenu tu kunaonesha wazi hakuna wa kufaulu hapo.

Hili suala ni janga kwa taifa na ni la lazima lichunguzwe. Naamini ufaulu wenu ni wa kupikwa tu.
 
We umebaki kubwabwaja tu, huna unalolielewa zaidi ya kutafuta huruma ktk changamoto mlizonazo.
Mnaambiwa ukweli we unabishia ukweli, badala ya kufanyia utafiti wa changamoto zinazowakabili ktk kupiga hatua zaidi kielimu, wewe na washirika wako mnakuwa kinyume chake kwa kusema taifa ndiyo lifanyiwe uchunguzi. Duh! Aisee si bora ungejikalia kimya tu ukiendelea kushushia kahawa na karanga.

Ulitaka kila post iwe na jibu hilohilo. Hizo ndizo shule za ufaulu?

Mnasikitisha sana, hata namna ya kufikiri kwenu tu kunaonesha wazi hakuna wa kufaulu hapo.

Hili suala ni janga kwa taifa na ni la lazima lichunguzwe. Naamini ufaulu wenu ni wa kupikwa tu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cha kushangaza ni pale mnapopasi lakini hatuoni maendeleo na kupasi kwenu hatuoni kumewasaidia nini zaidi ya Wapemba?

Hapo ndipo tunajiuliza, mnauhakika mna pasi kweli? Mimi nasema mnapigiwa pasi lakini hampasi.

Hivi jinsi nilivyomsikia Ndalichako, profesa huyo, anavyoongea English na ukichukulia kuwa English ndiyo lugha ya kufundishiwa kuanzia unapoanza sekondari, najiuliza huyu alifaulu vipi, mpaka afikie kuwa profesa? Sipati jibu.
Aisee mimi kingereza sijui lakini yule mama kanishangaza, kakaa nje wanakotumia kingereza sio chini ya miaka miwili, kafanya kazi kwenye taasisi inayofundisha kingereza(UD) miaka mingi tu lakini kwenye kuongea anatafuta maneno utasema yupo form two b zanaki sec
 
Acheni karate misikitini na vyuoni, mnapoteza muda wa kudoma badala yake mnatumia muda mwingi kuwaingizia watoto chuki dhidi ya dini zingine

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi vitu mnaongea bila kujielewa mimi muislam lakini karate nimejifunza kanisa la manzese(rc), waulize wanaolijua hilo kanisa miaka ya 90 kule kwenye uwanja wa kikapu watakueleza, pili naomba upitie matokeo ya mivumoni halafu urudi hapa utuambie kama kweli kufeli ni tatizo la dini au kitu kingine
 
We umebaki kubwabwaja tu, huna unalolielewa zaidi ya kutafuta huruma ktk changamoto mlizonazo.
Mnaambiwa ukweli we unabishia ukweli, badala ya kufanyia utafiti wa changamoto zinazowakabili ktk kupiga hatua zaidi kielimu, wewe na washirika wako mnakuwa kinyume chake kwa kusema taifa ndiyo lifanyiwe uchunguzi. Duh! Aisee si bora ungejikalia kimya tu ukiendelea kushushia kahawa na karanga.





Sent using Jamii Forums mobile app
Changamoto hazina mmoja. Hapa kuna ujinga tu ninaouona.

Wewe unaedhani kuwa elimu mmeipatia, nini mlichokifanya zaidi?

Wakristo toka ukoloni ndiyo ulipelekwa shule kwa kuwa tawala za kikoloni zilijenga mashule kupitia makanisa. Nani asiolielewa hilo? Mpaka leo kuna tofauti ipi? Hauyajuwi ya MoU?

Usifikiri kuwa mkoloni aliwajengea uwezo kielimu, mkoloni alitengeneza hayo asikose wakusanya kodi kwa maslahi yake. Hakuna elimu ya ziada mliopewa isipokuwa alilenga kujiwekea misukule na kwa bahati mbaya kabisa hadi leo hii ndiyo muendelezo huohuo na hakuna aliyestuka.

Hakuna zaidi katika elimu kulikowasaidia, bado mmebaki kuwa tabaka la waajiriwa wa serikalini, tena sasa hivi ndiyo worst.

Hivi nioneshe elimu mliopendelewa imewasaidia nini? Kujuwa kusoma magazeti na kuwa makarani maofisini? Kipi cha maana mkifanyacho?

Ni heri ya wale mnaowaona kuwa hawajasoma lakini "on the par" wana elimu kubwa zaidi ya ujinga mnaojazwa nao mashuleni.

Mtu anaonbwa rushwa ya ngono ndiyo afaulu, kuna elimu hapo au kuna makaratasi yasiyo na faida?

Tuondoleeni upuuzi.

Elimu ya madrasa inapigwa vita kila upande kwa kuwa wapo wanaopanga mikakati hiyo wanaelewa faida yake kwa watoto. Hajazwi mtu ujinga madrasa.
 
Kwanza shule za Kiislam ziruhusiwe kuendeshwa kibiashara badala ya kidini. Shule za RC ni za kibiashara purely.

Sent using Jamii Forums mobile app
Usisahau kuwa hizo shule za RC pia zina fungu la pesa zinazotoka serikali kama ile MoU inavyoshinikiza.

Kama huelewi basi uliza hii MoU ni nini na kwanini ielekezwe shule za Wakristo tu?
 
Aisee mimi kingereza sijui lakini yule mama kanishangaza, kakaa nje wanakotumia kingereza sio chini ya miaka miwili, kafanya kazi kwenye taasisi inayofundisha kingereza(UD) miaka mingi tu lakini kwenye kuongea anatafuta maneno utasema yupo form two b zanaki sec
Siyo yule mama tu. Hilo ni tatizo kwa wote wanaojiita wasomi. Sasa unajiuliza huyu alifaulu vipi?

Mimi naamini hao wanaojidai wanafaulu ni matokeo ya kupikwa tu. Hakuna zaidi.

Tunawaona jinsi hao hao wanaotoka vyuo vikuu hata batua za kuombea kazi zinavyiwashinda kuandika. Takwimu zile zile tu, hazina shule ya Kikristo wala Kiislam. Tena naweza kusema bora zaidi Waislam wanafunguliwa macho na madrasa lisa ya kupigwa vita.
 
Munaiba mitihani,munapendelewa na bado pamoja na kujiita wasomi,WAKRISTO KIINGEREZA ni shida,linganisha kimombo cha wasomi wa kiislam na wakitimoto utapata jibu.
 
UKWELI NI KWAMBA MTIA POST HUJAFANYA TAFITI YA KUTOSHA SAANA JUU YA HILO

NATUMA ORODHA YA SHULE ZA KIISLAM ZOOTE NCHINI HALAFU UNIAMBIE KIGEZO GANI ULICHOTUMIA KUSEMA SHULE ZIMEFELI SAANA..

PIA JUA KUNA ISLAMIC SCHOOLS NA MUSLIM SCHOOLS, UNATAKIWA UJUE UTOFAUTI WA HIVYO VIWILI
Kwa hiyo wewe hapa ndio umeridhika?
 
Duuuuh
Faiza Foxy ni Closed mind ata sio mtu wa reason na kuwa na Hoja yeye so long as Uislamu umetajwa basi atangangana hapo tu bila kuangalia jambo kwa kina Ni mchangiaji wa kishabiki sana, uzee pia unachangia Ivo Faiza ni wa kupuuza kabisa ata sio wa kutoleana nae jasho na watu kama hawa ndio wanazidi kudidimiza Elimu upande wa shule za kislamu mana huyu hata mwanae akitokea Islamic school na Zero ata mfariji tu na kumuambia kina fulani hawapendi ufaulu. Ni ukweli ulio wazi Islamic schools zina Ujinga mwingi sana japo si zote ila tu wako na ujinga mwingi kwanza vipaumbele vyao sio elimu dunia wao wanataka elimu akhera zaidi na mambo ya kuchanganya waarabu ambao nature yao si watu wa Shule hutegemea kurithi vitu.. Kama unataka mwanao a perfom vizuri mpelekee shule za kueleweka sio hizi za ma ustadhi misimamo mikali hamna plans wanakuja kulia lia tu mfumo unawakataa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom