Shule za kata za JK na matokeo ya form four

kivava

JF-Expert Member
Apr 2, 2013
5,773
4,921
Uzembe na kutokuwajibika kwa serikali ya awamu ya nne kwenye elimu sasa ni dhahiri
Ubabaishaji na uzembe katika uendeshaji wa shule za kata umejionyesha kwenye matokeo ya mtihani wa kidato cha nne yalitotangazwa leo
Ni madudu matupu
Kukuru kakara za JK za ujenzi wa maabara zimeishia kwa aibu kubwa kwenye matokeo ya masomo ya sayansi kwa shule takriban zote za kata
Shule ya Mchikichini kwa mfano,matokeo ni
div 1=0,div2=0,div3=3,div4=37 waliobaki kati ya wanafunzi 200 wamefeli.
Ndipo walipowafikishwa watoto wetu na JK na waziri wake wa elimu
WITO kwa Magufuli usiishie kutoa elimu bure tuu bali iwe elimu bora
 
Uzembe na kutokuwajibika kwa serikali ya awamu ya nne kwenye elimu sasa ni dhahiri
Ubabaishaji na uzembe katika uendeshaji wa shule za kata umejionyesha kwenye matokeo ya mtihani wa kidato cha nne yalitotangazwa leo
Ni madudu matupu
Kukuru kakara za JK za ujenzi wa maabara zimeishia kwa aibu kubwa kwenye matokeo ya masomo ya sayansi kwa shule takriban zote za kata
Shule ya Mchikichini kwa mfano,matokeo ni
div 1=0,div2=0,div3=3,div4=37 waliobaki kati ya wanafunzi 200 wamefeli.
Ndipo walipowafikishwa watoto wetu na JK na waziri wake wa elimu
WITO kwa Magufuli usiishie kutoa elimu bure tuu bali iwe elimu bora
Mulugo ebu njoo huku wanakusimanga
 
Bila Ndalichako kupelekwa kwenye hiyo wizara, leo tungeimbiwa ule wimbo wa BRN kwa mbwembwe sana,
 
Hizi za kata si mlisema za LOWASA...? leo zimerud tena kwa JK...?
Umesaau mlisema ni project ya mkapa jmn tutunze kumbukumbu kuna gazeti liliandika story nzima ila kikubwa sio mtu kufeli kwa mpng ata kama za lowasa aliowaachia muendesha mmefeli sasa tatizo la nani kwaiyo mzungu akikupa zawad alafu aondoke ukivunja utasema na mkosa aliyekuachia au wewe tatizo viongozi wakifanya vibaya bongo sababu ni wa ccm wasisemwe tuache kulia bac kama ivo kwel bongo tatizo sio viongoz tatizo ni kwa tunaoongozwa ndo tuna shidah sna
 
Sisi kama jamii tulifanya nini kusaidia watoto wetu wafaulu?
YOU ARE A GREAT THINKER OF QUR TIMES! usikute mtu anakimbilia kuhoji ufanisi wa serikali wakati yeye mwenyewe hata kumsaidia mtoto wake au ndugu yake afaulu ameshindwa. watoto wakishindwa hivyo ni wajibu wa kula mtanzania kujiuliza je alitimiza wajibu wake? kuna watoto wanafeli kwasababu wanakosa lishe bora, wengine kwasababu shule zao hazina walimu.sasa ni lazima tujiulize tufanye nini ili watoto wetu wasifeli tena.
 
  • Thanks
Reactions: KXY
Uzembe na kutokuwajibika kwa serikali ya awamu ya nne kwenye elimu sasa ni dhahiri
Ubabaishaji na uzembe katika uendeshaji wa shule za kata umejionyesha kwenye matokeo ya mtihani wa kidato cha nne yalitotangazwa leo
Ni madudu matupu
Kukuru kakara za JK za ujenzi wa maabara zimeishia kwa aibu kubwa kwenye matokeo ya masomo ya sayansi kwa shule takriban zote za kata
Shule ya Mchikichini kwa mfano,matokeo ni
div 1=0,div2=0,div3=3,div4=37 waliobaki kati ya wanafunzi 200 wamefeli.
Ndipo walipowafikishwa watoto wetu na JK na waziri wake wa elimu
WITO kwa Magufuli usiishie kutoa elimu bure tuu bali iwe elimu bora

Ndugu yangu, hakuna kilichoshuka wala nini. Mabadiliko unayoyaona ni kutokana na kuondolewa kwa mfumo chakachuzi wa matokeo ya kupigwa simu wakati wa Marking kwamba "mwaka huu ufaulu uongezeke hasa kwa shule za kata na za serikali". Si lolote si chochote.

Kimeondoka ni rangi nyeeupe juu ya kaburi lakini maiti imo mlemle tena inafunza imeoza na inanuka. Hii ndiyo rangi halisi ya elimu ya tanzania.

Kwa yule jamaa yenu, hao wneye sifuri walikuwa wamefaulu kwenda A level na baadaye chuo kikuu wanahitimu eti graduates wasiojua hata walichokisoma. Wanaishia kuwa wabishi bila hoja.

Ndiyo reflection ya uanisi wa hawa vijana katika masuala mbali mbali unayoyaona vichwa viko likizo.

Sasa tumeona picha. What next? Tunaondokaje hapo kwenye sanaa za mkwere ili kuipeleka nchi sehemu sahihi?
 
Uzembe na kutokuwajibika kwa serikali ya awamu ya nne kwenye elimu sasa ni dhahiri
Ubabaishaji na uzembe katika uendeshaji wa shule za kata umejionyesha kwenye matokeo ya mtihani wa kidato cha nne yalitotangazwa leo
Ni madudu matupu
Kukuru kakara za JK za ujenzi wa maabara zimeishia kwa aibu kubwa kwenye matokeo ya masomo ya sayansi kwa shule takriban zote za kata
Shule ya Mchikichini kwa mfano,matokeo ni
div 1=0,div2=0,div3=3,div4=37 waliobaki kati ya wanafunzi 200 wamefeli.
Ndipo walipowafikishwa watoto wetu na JK na waziri wake wa elimu
WITO kwa Magufuli usiishie kutoa elimu bure tuu bali iwe elimu bora
HAPO NA VIJANA NDIO WAMEPIGA NA MWENDO WA TUITION....,?
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom