Wakuu wa shule zinazomilikiwa na Jeshi la Wananchi (JWTZ)wametakiwa kuboresha uendeshaji wa shule hizo ili kuendana na kasi ya Serikali
Pia wametakiwa kufanya hivyo ili kukidhi mahitaji na mwongozo wa Rais na Amiri Jeshi mkuu, Dkt. John Magufuli kuwa nchi ya uchumi wa kati kwa kuzalisha wahitimu wanaoendana na mkakati huo.
Pia wametakiwa kufanya hivyo ili kukidhi mahitaji na mwongozo wa Rais na Amiri Jeshi mkuu, Dkt. John Magufuli kuwa nchi ya uchumi wa kati kwa kuzalisha wahitimu wanaoendana na mkakati huo.