YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,909
- 51,904
Ukiangalia matokeo ya darasa la saba 2019 kwa mfano shule za english medium ndizo zimeongoza kwa ufaulu kwenye somo la kiswahili kuliko shule zinazotumia lugha ya kiswahili kwenye masomo yote
Hii inamaananisha nini?
====
Pia raia wa China Congcong Wang aliongoza somo la Kiswahili ambalo alipata “B” Matokeo ya kidato cha nne ya mwaka 2016, ambaye alishika nafasi ya pili kitaifa
Hali hii inaulizwa na wengi kushangaa hizi shule zinazotumia Kiswahili kufundishia masomo yote wanashindwa kufanya vizuri katika somo la Kiswahili.
Je kweli lugha ni kikwazo cha ufaulu, mbona watoto wa English medium hawaoni kiingereza kuwa kikwazo katika kufaulu Kiswahili
Hii inamaananisha nini?
====
Pia raia wa China Congcong Wang aliongoza somo la Kiswahili ambalo alipata “B” Matokeo ya kidato cha nne ya mwaka 2016, ambaye alishika nafasi ya pili kitaifa
Hali hii inaulizwa na wengi kushangaa hizi shule zinazotumia Kiswahili kufundishia masomo yote wanashindwa kufanya vizuri katika somo la Kiswahili.
Je kweli lugha ni kikwazo cha ufaulu, mbona watoto wa English medium hawaoni kiingereza kuwa kikwazo katika kufaulu Kiswahili