Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,113
- 21,240
Habari wakuu
Nashindwa kuelewa hivi hawa viongozi wetu akili zimedumaa namna hii, ubunifu hakuna kabisa, nahisi mh rais kuna wakati anajuta kuwateua, wanamwangusha sana, sijui ni woga.
ile shule ya ubungo, baada ya Rais kusisitiza, huwezi amini, sijui pesa imetoka wapi, budget sijui nan katenga, malori ya mchanga, cement, kokoto, zimemwagika ndani ya sekunde moja, shule imejengwa hadi miti imepakwa rangi ya kijani, shule ilikuwa na bonde halipitiki daraja safi limejengwa ndani ya nusu saa.
Hapa ndio nimeamini kuwa sisi watanzania ni kama punda, sio kwamba kufanya kazi hatuwezi ila anahitajika mtu nyuma na mjeredi na mkong'oto mkali wa kama jpm wa kucharaza bakora hawa watendaji wavivu ambao hawana ubunifu wapo wapo tu kama maji ya kandolo ubungo.
Saizi kila mwanchi anatamani arecord kero zinazosumbua mtaani na kumpelekea moja kwa moja mh rais, kwa sababu
Mwenyekiti hovyo:
Wote hao kama vile kuna kitu kimekamata uwezo wao wa kutatua changamoto za wananchi.
Mungu ibariki Tanzania.
Nashindwa kuelewa hivi hawa viongozi wetu akili zimedumaa namna hii, ubunifu hakuna kabisa, nahisi mh rais kuna wakati anajuta kuwateua, wanamwangusha sana, sijui ni woga.
ile shule ya ubungo, baada ya Rais kusisitiza, huwezi amini, sijui pesa imetoka wapi, budget sijui nan katenga, malori ya mchanga, cement, kokoto, zimemwagika ndani ya sekunde moja, shule imejengwa hadi miti imepakwa rangi ya kijani, shule ilikuwa na bonde halipitiki daraja safi limejengwa ndani ya nusu saa.
Hapa ndio nimeamini kuwa sisi watanzania ni kama punda, sio kwamba kufanya kazi hatuwezi ila anahitajika mtu nyuma na mjeredi na mkong'oto mkali wa kama jpm wa kucharaza bakora hawa watendaji wavivu ambao hawana ubunifu wapo wapo tu kama maji ya kandolo ubungo.
Saizi kila mwanchi anatamani arecord kero zinazosumbua mtaani na kumpelekea moja kwa moja mh rais, kwa sababu
Mwenyekiti hovyo:
- Diwani hoi
- Mkurugenzi hana maamuzi
- Mkuu wa wilaya ujanjajanja mwingi
- Mkuu wa mkoa hajui la kufanya
- Mbunge haelewi
Wote hao kama vile kuna kitu kimekamata uwezo wao wa kutatua changamoto za wananchi.
Mungu ibariki Tanzania.