olimpio
JF-Expert Member
- Apr 5, 2023
- 401
- 834
Katika , hali ya kutatanisha , shule ya masister inayomilikiwa na Kanisa katoliki mkoani DODOMA iitwayo HURUMA secondary school, imezua vurugu miongoni mwa wazazi wa vijana wa kidato cha nne .
1. Shule hiyo inadaiwa kuondokewa na waalimu wao mahili katikati ya maandalizi ya NECTA ijayo , vijana hao wa kidato cha nne wengi wao hawawezi kubadilisha shule/ kuhama shule kwa sasa , hivyo wanalazimika kubaki shuleni hapo kulinda usajili wao.
Mkuu wa shule hio anadaiwa kuwazuia wanafunzi wote wa kidato cha nne na kuwataka walipe fedha za kufundishwa TUITION kipindi cha likizo ijayo JUNE 2023 kwa kua wanajua shule hio haijawafundisha watoto hao baada ya kuondokewa na waalimu .
Wazazi waliowengi wanatamani wanafunzi wapewe uhuru wa kuamua kurudi kwa wazazi likizo ili wapate masomo ya ziada binafsi kwa waalimu wenye uwezo kuepusha kufail kwenye mtihani ujao .
===============UPDATES============================
Ninaushukuru Uongozi wa kanisa Katoliki jimbo kuu la DODOMA kwa kuingilia kati na kuruhusu wanafunzi wote warudi likizo ,Kanisa limeonyesha weledi mkubwa sana na nichukue nafasi hii kulipongeza kwa kuwa sikivu na kuchukua hatua stahiki kwa yote yaliyokua yanaelekea kuporomosha elimu pale shuleni
1. Shule hiyo inadaiwa kuondokewa na waalimu wao mahili katikati ya maandalizi ya NECTA ijayo , vijana hao wa kidato cha nne wengi wao hawawezi kubadilisha shule/ kuhama shule kwa sasa , hivyo wanalazimika kubaki shuleni hapo kulinda usajili wao.
Mkuu wa shule hio anadaiwa kuwazuia wanafunzi wote wa kidato cha nne na kuwataka walipe fedha za kufundishwa TUITION kipindi cha likizo ijayo JUNE 2023 kwa kua wanajua shule hio haijawafundisha watoto hao baada ya kuondokewa na waalimu .
Wazazi waliowengi wanatamani wanafunzi wapewe uhuru wa kuamua kurudi kwa wazazi likizo ili wapate masomo ya ziada binafsi kwa waalimu wenye uwezo kuepusha kufail kwenye mtihani ujao .
===============UPDATES============================
Ninaushukuru Uongozi wa kanisa Katoliki jimbo kuu la DODOMA kwa kuingilia kati na kuruhusu wanafunzi wote warudi likizo ,Kanisa limeonyesha weledi mkubwa sana na nichukue nafasi hii kulipongeza kwa kuwa sikivu na kuchukua hatua stahiki kwa yote yaliyokua yanaelekea kuporomosha elimu pale shuleni