Tetesi: Shule ya wasichana ya Huruma iliyopo Dodoma yazuia wanafunzi kurudi likizo

olimpio

JF-Expert Member
Apr 5, 2023
401
834
Katika , hali ya kutatanisha , shule ya masister inayomilikiwa na Kanisa katoliki mkoani DODOMA iitwayo HURUMA secondary school, imezua vurugu miongoni mwa wazazi wa vijana wa kidato cha nne .

1. Shule hiyo inadaiwa kuondokewa na waalimu wao mahili katikati ya maandalizi ya NECTA ijayo , vijana hao wa kidato cha nne wengi wao hawawezi kubadilisha shule/ kuhama shule kwa sasa , hivyo wanalazimika kubaki shuleni hapo kulinda usajili wao.

Mkuu wa shule hio anadaiwa kuwazuia wanafunzi wote wa kidato cha nne na kuwataka walipe fedha za kufundishwa TUITION kipindi cha likizo ijayo JUNE 2023 kwa kua wanajua shule hio haijawafundisha watoto hao baada ya kuondokewa na waalimu .

Wazazi waliowengi wanatamani wanafunzi wapewe uhuru wa kuamua kurudi kwa wazazi likizo ili wapate masomo ya ziada binafsi kwa waalimu wenye uwezo kuepusha kufail kwenye mtihani ujao .



===============UPDATES============================
Ninaushukuru Uongozi wa kanisa Katoliki jimbo kuu la DODOMA kwa kuingilia kati na kuruhusu wanafunzi wote warudi likizo ,Kanisa limeonyesha weledi mkubwa sana na nichukue nafasi hii kulipongeza kwa kuwa sikivu na kuchukua hatua stahiki kwa yote yaliyokua yanaelekea kuporomosha elimu pale shuleni
 

Attachments

  • WAZIRI_WA_ELIMU.mp4
    5.4 MB
Katika , hali ya kutatanisha , shule ya masister inayomilikiwa na Kanisa katoliki mkoani DODOMA iitwayo HURUMA secondary school, imezua vurugu miongoni mwa wazazi wa vijana wa kidato cha nne .

1. Shule hiyo inadaiwa kuondokewa na waalimu wao mahili katikati ya maandalizi ya NECTA ijayo , vijana hao wa kidato cha nne wengi wao hawawezi kubadilisha shule/ kuhama shule kwa sasa , hivyo wanalazimika kubaki shuleni hapo kulinda usajili wao.

Mkuu wa shule hio anadaiwa kuwazuia wanafunzi wote wa kidato cha nne na kuwataka walipe fedha za kufundishwa TUITION kipindi cha likizo ijayo JUNE 2023 kwa kua wanajua shule hio haijawafundisha watoto hao baada ya kuondokewa na waalimu .

Wazazi waliowengi wanatamani wanafunzi wapewe uhuru wa kuamua kurudi kwa wazazi likizo ili wapate masomo ya ziada binafsi kwa waalimu wenye uwezo kuepusha kufail kwenye mtihani ujao .

2.Wazazi wengine wamelalamika pia , tetesi za shule hio kuwa na wanafunzi wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja , hivyo wanaomba watoto wao warudi likizo kuepusha madhara zaidi ya kimaadali


RAI yangu kwa wizara ya ELIMU ,na TAMISEMI PIA, fuatilieni mienendo ya kimaadili kwenye shule hii ya masister iliyopo DODOMA kuna tabia za kimagharibi ambazo wazazi wanashindwa kuzisema waziwazi maana zinadharirisha utu wa watoto wao , ndio maana wengi wanataka watoto wao warudi likizo waongee nao .

==========UPDATES===========
Shule inagoma kuwaachia watoto kwa kuhofia tetesi hizo za usagaji zinaweza kuenea na kupelekea kufungwa au kuchunguzwa
Shule ya kanisa katoliki kua na wapenzi wa jinsia moja haiwezakane kabisa
 
2156ae26-87a4-48ea-8c71-0c6b190ad850.jpg
 
Katika , hali ya kutatanisha , shule ya masister inayomilikiwa na Kanisa katoliki mkoani DODOMA iitwayo HURUMA secondary school, imezua vurugu miongoni mwa wazazi wa vijana wa kidato cha nne .

1. Shule hiyo inadaiwa kuondokewa na waalimu wao mahili katikati ya maandalizi ya NECTA ijayo , vijana hao wa kidato cha nne wengi wao hawawezi kubadilisha shule/ kuhama shule kwa sasa , hivyo wanalazimika kubaki shuleni hapo kulinda usajili wao.

Mkuu wa shule hio anadaiwa kuwazuia wanafunzi wote wa kidato cha nne na kuwataka walipe fedha za kufundishwa TUITION kipindi cha likizo ijayo JUNE 2023 kwa kua wanajua shule hio haijawafundisha watoto hao baada ya kuondokewa na waalimu .

Wazazi waliowengi wanatamani wanafunzi wapewe uhuru wa kuamua kurudi kwa wazazi likizo ili wapate masomo ya ziada binafsi kwa waalimu wenye uwezo kuepusha kufail kwenye mtihani ujao .

2.Wazazi wengine wamelalamika pia , tetesi za shule hio kuwa na wanafunzi wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja , hivyo wanaomba watoto wao warudi likizo kuepusha madhara zaidi ya kimaadali


RAI yangu kwa wizara ya ELIMU ,na TAMISEMI PIA, fuatilieni mienendo ya kimaadili kwenye shule hii ya masister iliyopo DODOMA kuna tabia za kimagharibi ambazo wazazi wanashindwa kuzisema waziwazi maana zinadharirisha utu wa watoto wao , ndio maana wengi wanataka watoto wao warudi likizo waongee nao .

==========UPDATES===========
Shule inagoma kuwaachia watoto kwa kuhofia tetesi hizo za usagaji zinaweza kuenea na kupelekea kufungwa au kuchunguzwa
Story imekaa kimajungu hii...anyways, wahusika watajibu hizi tetesi.
 
Katika , hali ya kutatanisha , shule ya masister inayomilikiwa na Kanisa katoliki mkoani DODOMA iitwayo HURUMA secondary school, imezua vurugu miongoni mwa wazazi wa vijana wa kidato cha nne .

1. Shule hiyo inadaiwa kuondokewa na waalimu wao mahili katikati ya maandalizi ya NECTA ijayo , vijana hao wa kidato cha nne wengi wao hawawezi kubadilisha shule/ kuhama shule kwa sasa , hivyo wanalazimika kubaki shuleni hapo kulinda usajili wao.

Mkuu wa shule hio anadaiwa kuwazuia wanafunzi wote wa kidato cha nne na kuwataka walipe fedha za kufundishwa TUITION kipindi cha likizo ijayo JUNE 2023 kwa kua wanajua shule hio haijawafundisha watoto hao baada ya kuondokewa na waalimu .

Wazazi waliowengi wanatamani wanafunzi wapewe uhuru wa kuamua kurudi kwa wazazi likizo ili wapate masomo ya ziada binafsi kwa waalimu wenye uwezo kuepusha kufail kwenye mtihani ujao .

2.Wazazi wengine wamelalamika pia , tetesi za shule hio kuwa na wanafunzi wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja , hivyo wanaomba watoto wao warudi likizo kuepusha madhara zaidi ya kimaadali


RAI yangu kwa wizara ya ELIMU ,na TAMISEMI PIA, fuatilieni mienendo ya kimaadili kwenye shule hii ya masister iliyopo DODOMA kuna tabia za kimagharibi ambazo wazazi wanashindwa kuzisema waziwazi maana zinadharirisha utu wa watoto wao , ndio maana wengi wanataka watoto wao warudi likizo waongee nao .

==========UPDATES===========
Shule inagoma kuwaachia watoto kwa kuhofia tetesi hizo za usagaji zinaweza kuenea na kupelekea kufungwa au kuchunguzwa
Mtoa mada hujasema una maslahi gani na hiyo shule, ili tuweze kufanya tathmini ya hizi shutuma zako.
Je, wewe ni mzazi mwenye mwanafunzi wa kidato cha nne, aliyezuiliwa na hiyo shule kurudi nyumbani?

Je, una uhakika shule inatumia ubabe, au imekubaliana na wazazi wenzako wenye watoto wa kidato cha nne!

Au wewe ni mmoja ya walimu waliotimuliwa kwenye hiyo shule, na sasa umeamua kuja kuisagia kunguni? Maana haileti mantiki shule kama Huruma Girls ikose walimu mahiri wa kuchukua nafasi ya hao wachache waliofukuzwa!

By the way, hiyo shule inafanya vizuri sana kwenye mitihani ya Kitaifa. Hivyo nitakuwa mtu wa mwisho kuamini hizi shutuma zako zote! Pamoja na hizo za usagaji.
 
Mtoa mada hujasema una maslahi gani na hiyo shule, ili tuweze kufanya tathmini ya hizi shutuma zako.
Je, wewe ni mzazi mwenye mwanafunzi wa kidato cha nne, aliyezuiliwa na hiyo shule kurudi nyumbani?

Je, una uhakika shule inatumia ubabe, au imekubaliana na wazazi wenzako wenye watoto wa kidato cha nne!

Au wewe ni mmoja ya walimu waliotimuliwa kwenye hiyo shule, na sasa umeamua kuja kuisagia kunguni? Maana haileti mantiki shule kama Huruma Girls ikose walimu mahiri wa kuchukua nafasi ya hao wachache waliofukuzwa!

By the way, hiyo shule inafanya vizuri sana kwenye mitihani ya Kitaifa. Hivyo nitakuwa mtu wa mwisho kuamini hizi shutuma zako zote! Pamoja na hizo za usagaji.
Jambo moja nina uhakika nalo, you will never ever be safe for what is going on at HURUMA sec.
Ruka ruka tu na ramli zako hizo , time has reached everything to be unearthed .
Hayo maswali yako nakushauri utulie nayo wakati wa kuhojiwa uyatumie yanaweza kukusaidia kidogo kuliona jua.
Sali litania na sala ya mt Anthony wa padua , meza ishapinduka , save your energy
 
Jambo moja nina uhakika nalo, you will never ever be safe for what is going on at HURUMA sec.
Ruka ruka tu na ramli zako hizo , time has reached everything to be unearthed .
Hayo maswali yako nakushauri utulie nayo wakati wa kuhojiwa uyatumie yanaweza kukusaidia kidogo kuliona jua.
Sali litania na sala ya mt Anthony wa padua , meza ishapinduka , save your energy
Wewe ni mjinga unachafua makusudi Huruma girls ili ufaidike nn?
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni
Kanisa katoliki lipo strictly sana Kwa hayo mambo ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja wakibainika wahusika huwa wanachukuliwa hatua mara moja.
Uliza waliopita junior seminaries au major seminaries watakupa majibu.
Kanisa halina mchezo mchezo na issue ya maadili vinginevyo naona km umetumwa hv hya endelea kuwatumikia mabwana zako.
 
Katika , hali ya kutatanisha , shule ya masister inayomilikiwa na Kanisa katoliki mkoani DODOMA iitwayo HURUMA secondary school, imezua vurugu miongoni mwa wazazi wa vijana wa kidato cha nne .

1. Shule hiyo inadaiwa kuondokewa na waalimu wao mahili katikati ya maandalizi ya NECTA ijayo , vijana hao wa kidato cha nne wengi wao hawawezi kubadilisha shule/ kuhama shule kwa sasa , hivyo wanalazimika kubaki shuleni hapo kulinda usajili wao.

Mkuu wa shule hio anadaiwa kuwazuia wanafunzi wote wa kidato cha nne na kuwataka walipe fedha za kufundishwa TUITION kipindi cha likizo ijayo JUNE 2023 kwa kua wanajua shule hio haijawafundisha watoto hao baada ya kuondokewa na waalimu .

Wazazi waliowengi wanatamani wanafunzi wapewe uhuru wa kuamua kurudi kwa wazazi likizo ili wapate masomo ya ziada binafsi kwa waalimu wenye uwezo kuepusha kufail kwenye mtihani ujao .

2.Wazazi wengine wamelalamika pia , tetesi za shule hio kuwa na wanafunzi wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja , hivyo wanaomba watoto wao warudi likizo kuepusha madhara zaidi ya kimaadali


RAI yangu kwa wizara ya ELIMU ,na TAMISEMI PIA, fuatilieni mienendo ya kimaadili kwenye shule hii ya masister iliyopo DODOMA kuna tabia za kimagharibi ambazo wazazi wanashindwa kuzisema waziwazi maana zinadharirisha utu wa watoto wao , ndio maana wengi wanataka watoto wao warudi likizo waongee nao .

==========UPDATES===========
Shule inagoma kuwaachia watoto kwa kuhofia tetesi hizo za usagaji zinaweza kuenea na kupelekea kufungwa au kuchunguzwa
Mbona kubaki shule ni jambo la kawaida kwa madarasa ya mitihani ya kitaifa. Acha unafiki wewe
 
Wewe ni mjinga unachafua makusudi Huruma girls ili ufaidike nn?
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni
Kanisa katoliki lipo strictly sana Kwa hayo mambo ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja wakibainika wahusika huwa wanachukuliwa hatua mara moja.
Uliza waliopita junior seminaries au major seminaries watakupa majibu.
Kanisa halina mchezo mchezo na issue ya maadili vinginevyo naona km umetumwa hv hya endelea kuwatumikia mabwana zako.
Nimesomea shule moja ya kikatoliki wapo strictly sana kwa sheria zao ngumu hadi nikashindwa kumaliza form four... nilihama
 
Back
Top Bottom