Engineer E.
Member
- Mar 1, 2015
- 34
- 2
Jamani wana JF nahitaji kujifunza udereva wa magari kwa mda mfupi kutoka Dar es salaam kwasababu mm mwenyewe nipo dar es salaam, nahitaji mnitajia mda wa kumaliza hayo mafunzo ndani ya kipind kifupi pamoja na ada yake na iwe wilaya ya kinondoni.