Shule ya sifa: Shule ya Sekondari Milambo, Tabora

jsenyinah

JF-Expert Member
Jan 25, 2012
249
338
Nipo hapa nyumbani naendelea kuisogeza siku hii ya tarehe 01.01.2017.

Ghafla nikaikumbuka shule hii ya sekondari Milambo iliyopo mjini Tabora,takribani kilomita 2 tu toka kituo kikuu cha mabasi Tabora,na ipo njiani kama unaelekea Urambo,nyumbani kwa marehemu Mh. Samweli Sitta (Mungu amrehemu). Shule hii pia alisoma Mh Edward Ngoyai Lowasa, Waziri Mkuu Mstaafu wa jamhuri ya Muungano ya Tanzania.

Shule hii haina uzio (kwa sababu ni ya wanaume),na ipo karibu kabisa na mtaa maarufu Tabora uitwao Chemchemu.

Kando ya hiyo shule kuna canteen maarufu sana kwa ajili ya kununulia appetizer au chachandu unapotaka kulia NYALI au POLA.

Ni shule yenye mabweni matatu,mm nilikaa bweni la SOKOINE,floor ya kwanza.

Maji ya ile shule ni ya chumvi sana kiasi cha kuwafanya wanafunzi waende kuchota maji ya kunywa parokiani.

Nyuma ya shule upo uwanja mzuri sana wa mpira.

Waalimu ninaoweza kuwakumbuka n:-

1. Mwl Katondolaa (Marehemu)

2. Mwl Jubwa (Headmaster)

3. Mwl Zoma ( kwa fito balaa)

Nakimbuka pia kuna "Conco room",vyumba ambavyo wanafunzi hupenda kujifungia kama gheto kwa ajili ya kujisomea (hasa viongozi).

Ambavyo sitavisahau:

1. Sikuwahi kuitwa jina kwa miaka miwili

2. T-shirt zake zilikuwa kama blauzi. (ukivaa inasogea kifuani)

3. Foleni siku za nyali au ngema kwa nyama

4. Utamu wa pola (uji).

Milambo acha tu iitwe Milambo

wp_ss_20170110_0001-png.457584
 
Enzi zeta tulikuwa na FUPA (Msemakweli) kama Headmaster akisaidiwa na MWANAKONDOO (sikumbuki jinale ila alikuwa mwalimu French. Mzee wa Fito alikuwa SIR Njile ( mwalimu pekee aliyeitwa SIR)
 
Enzi zeta tulikuwa na FUPA (Msemakweli) kama Headmaster akisaidiwa na MWANAKONDOO (sikumbuki jinale ila alikuwa mwalimu French. Mzee wa Fito alikuwa SIR Njile ( mwalimu pekee aliyeitwa SIR)
mkuu hili jina la FUPA nadhani lilitokana na gari yake ile Toyota Stout, pick up kama Niko sahihi. Hebu kumbusha kidogo
 
Nipo hapa nyumbani naendelea kuisogeza siku hii ya tarehe 01.01.2017.

Ghafla nikaikumbuka shule hii ya sekondari Milambo iliyopo mjini Tabora,takribani kilomita 2 tu toka kituo kikuu cha mabasi Tabora,na ipo njiani kama unaelekea Urambo,nyumbani kwa marehemu Mh. Samweli Sitta (Mungu amrehemu). Shule hii pia alisoma Mh Edward Ngoyai Lowasa, Waziri Mkuu Mstaafu wa jamhuri ya Muungano ya Tanzania.

Shule hii haina uzio (kwa sababu ni ya wanaume),na ipo karibu kabisa na mtaa maarufu Tabora uitwao Chemchemu.

Kando ya hiyo shule kuna canteen maarufu sana kwa ajili ya kununulia appetizer au chachandu umapotaka kulia NYALI au POLA.

Ni shule yenye mabweni matatu,mm nilikaa bweni la SOKOINE,floor ya kwanza.

Maji ya ile shule ni ya chumvi sana kiasi cha kuwafanya wanafunzi waende kuchota maji ya kunywa parokiani.

Nyuma ya shule upo uwanja mzuri sana wa mpira.

Waalimu ninaoweza kuwakumbuka n:-

1. Mwl Katondolaa (Marehemu)

2. Mwl Jubwa (Headmaster)

3. Mwl Zoma ( kwa fito balaa)

Nakimbuka pia kuna "Conco room",vyumba ambavyo wanafunzi hupenda kujifungia kama gheto kwa ajili ya kujisomea (hasa viongozi).

Ambavyo sitavisahau:

1. Sikuwahi kuitwa jina kwa miaka miwili

2. T-shirt zake zilikuwa kama blauzi. (ukivaa inasogea kifuani)

3. Foleni siku za nyali au ngema kwa nyama

4. Utamu wa pola (uji).

Milambo acha tu iitwe Milambo
Mkuu umemaliza mwaka gani hapo? Mimi nimemaliza 2008
 
Mie nilimaliza hapo 1983 combination ya French . Nilikuwa Kennedy no. 10. Nakumbukia Sana maembe ya kule mawiti. Maji tulikuwa tunachota Bwawa la igombe. Nakumbukia father kalumanzira wa parokia ya makokola. Classmates ninaowakumbuka ni kama Shewere, Ben Mwangonda, Felix Lubuva, Revocatus Msokane, Julius Mganga , Philip assey n.k. Mkuu alikuwa ni Mr. Msemakweli.
 
Nipo hapa nyumbani naendelea kuisogeza siku hii ya tarehe 01.01.2017.

Ghafla nikaikumbuka shule hii ya sekondari Milambo iliyopo mjini Tabora,takribani kilomita 2 tu toka kituo kikuu cha mabasi Tabora,na ipo njiani kama unaelekea Urambo,nyumbani kwa marehemu Mh. Samweli Sitta (Mungu amrehemu). Shule hii pia alisoma Mh Edward Ngoyai Lowasa, Waziri Mkuu Mstaafu wa jamhuri ya Muungano ya Tanzania.

Shule hii haina uzio (kwa sababu ni ya wanaume),na ipo karibu kabisa na mtaa maarufu Tabora uitwao Chemchemu.

Kando ya hiyo shule kuna canteen maarufu sana kwa ajili ya kununulia appetizer au chachandu umapotaka kulia NYALI au POLA.

Ni shule yenye mabweni matatu,mm nilikaa bweni la SOKOINE,floor ya kwanza.

Maji ya ile shule ni ya chumvi sana kiasi cha kuwafanya wanafunzi waende kuchota maji ya kunywa parokiani.

Nyuma ya shule upo uwanja mzuri sana wa mpira.

Waalimu ninaoweza kuwakumbuka n:-

1. Mwl Katondolaa (Marehemu)

2. Mwl Jubwa (Headmaster)

3. Mwl Zoma ( kwa fito balaa)

Nakimbuka pia kuna "Conco room",vyumba ambavyo wanafunzi hupenda kujifungia kama gheto kwa ajili ya kujisomea (hasa viongozi).

Ambavyo sitavisahau:

1. Sikuwahi kuitwa jina kwa miaka miwili

2. T-shirt zake zilikuwa kama blauzi. (ukivaa inasogea kifuani)

3. Foleni siku za nyali au ngema kwa nyama

4. Utamu wa pola (uji).

Milambo acha tu iitwe Milambo
Duuuh! Noma sana.Hata mm nlilala bweni la SOKOINE room no.5 pale
 
Aisee mimi sitoisahau hii shule. Kwani maisha yangu yote ya Advance hapo milambo hatukuwahi kufanya annual, terminal wala midterm test.

Mtihani wa kwanza kuufanya ulikuwa ni Mock, wa pili NECTA herself.

Hahahaa.
Na inafaulisha?
 
Mie nilimaliza hapo 1983 combination ya French . Nilikuwa Kennedy no. 10. Nakumbukia Sana maembe ya kule mawiti. Maji tulikuwa tunachota Bwawa la igombe. Nakumbukia father kalumanzira wa parokia ya makokola. Classmates ninaowakumbuka ni kama Shewere, Ben Mwangonda, Felix Lubuva, Revocatus Msokane, Julius Mganga , Philip assey n.k. Mkuu alikuwa ni Mr. Msemakweli.
Wee Mzee kuliko wote humu
Siku sensa ikipita humu utaamini
 
Mie nilimaliza hapo 1983 combination ya French . Nilikuwa Kennedy no. 10. Nakumbukia Sana maembe ya kule mawiti. Maji tulikuwa tunachota Bwawa la igombe. Nakumbukia father kalumanzira wa parokia ya makokola. Classmates ninaowakumbuka ni kama Shewere, Ben Mwangonda, Felix Lubuva, Revocatus Msokane, Julius Mganga , Philip assey n.k. Mkuu alikuwa ni Mr. Msemakweli.
Duuh..!! Heri ya mwaka mpyaa anko
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom